Adnan Januzaj kashapata zali.........!!

Adnan Januzaj kashapata zali.........!!

Joined
Feb 21, 2012
Posts
9
Reaction score
2
Kiungo wa Manchester united,Mwenye asili ya Albania na raia wa Belgium,Adnan Januzaj(Miaka 18) Amebakisha Miezi 8 Mkataba wake kuisha katika Klabu yake ya Manchester utd na Anatakiwa na Vilabu vya Real Madrid,Juventus na Bayern Munich.......na Jana Viongozi wa Man utd jana Mchana walikaa na Kiungo huyo Chipukizi kwa ajili ya Kujadili Mkataba Mpya wenye thamani ya Paund 60,000 kwa Wiki na Kwa Mujibu wa sheria za usajili Adnani Januzaj ana uamuzi wa kusain Pre contract na Klabu yoyote inayomuhitaji.
 
ina maana hilo dau la mshahara linapanda kila dakika?maana jana nilickia wansema watampa ulaji wa paundi elfu 30 kutoka 1000 za sasa,baadae nikasikia wengine wanasema paundi elfu 50,leo sitini.....du kesho itafika mbali zaidi..
 
Kiungo wa Manchester united,Mwenye asili ya Albania na raia wa Belgium,Adnan Januzaj(Miaka 18) Amebakisha Miezi 8 Mkataba wake kuisha katika Klabu yake ya Manchester utd na Anatakiwa na Vilabu vya Real Madrid,Juventus na Bayern Munich.......na Jana Viongozi wa Man utd jana Mchana walikaa na Kiungo huyo Chipukizi kwa ajili ya Kujadili Mkataba Mpya wenye thamani ya Paund 60,000 kwa Wiki na Kwa Mujibu wa sheria za usajili Adnani Januzaj ana uamuzi wa kusain Pre contract na Klabu yoyote inayomuhitaji.

Kuna Tahira mmoja wa Manne United anasema Belgium ina pigania kumpata Januzaj ili aichezee Belgium! kwa taarifa yake tu
-Belgium haijagombea kumpata januzaj
-Belgium haifahamu hata kama kuna mtu anaitwa Januzaj
-Belgium kugombea mchezaji haitatokea kwani ina wachezaji wa kumwaga kama vile Spain,Brazil.
-Januzaj anagombewa na mataifa yasiyokuwa na wachezaji kwa mfano england,Kosovo,Turkey,albania!
-Hata kama januzaj akisema hataichezea belgium,hataipunguzia kitu belgium,yeye kwa belgium ni sawa na tone la maji ya chumvi katika maji ya bahari
Belgium kuna Chadli,Witsel,Mirallas,Hazard,! Wote hao viungo wa pembeni!! Hao walotajwa hapo hakuna wa kuwekwa bench na hako katoto kalikowafunga washika mkia Sunderland!!
 
Kuna Tahira mmoja wa Manne United anasema Belgium ina pigania kumpata Januzaj ili aichezee Belgium! kwa taarifa yake tu
-Belgium haijagombea kumpata januzaj
-Belgium haifahamu hata kama kuna mtu anaitwa Januzaj
-Belgium kugombea mchezaji haitatokea kwani ina wachezaji wa kumwaga kama vile Spain,Brazil.
-Januzaj anagombewa na mataifa yasiyokuwa na wachezaji kwa mfano england,Kosovo,Turkey,albania!
-Hata kama januzaj akisema hataichezea belgium,hataipunguzia kitu belgium,yeye kwa belgium ni sawa na tone la maji ya chumvi katika maji ya bahari
Belgium kuna Chadli,Witsel,Mirallas,Hazard,! Wote hao viungo wa pembeni!! Hao walotajwa hapo hakuna wa kuwekwa bench na hako katoto kalikowafunga washika mkia Sunderland!!
Mkuu mbona povu tena?
 
Huyu dogo ni noma, Lazima chama langu lilambe magunia ya hela hapo mbele kama ilivyokua kwa Ronaldo.
 
Hayo ndiyo matunda ya football academy...
 
kiukweli dogo uwezo upo....kama analipwa 10000 pound kwa wiki a'fu wanataka wamwongezee ifike 30000 ni ndogo. Kuna wavivu kibao wanalamba mkwanja wa maana na hawana mchango sana kwenye timu. Mfano, Demba Ba, Fernando Torres, ni wavivu na kwa sasa wamebaki majina tu.
 
kiukweli dogo uwezo upo....kama analipwa 10000 pound kwa wiki a'fu wanataka wamwongezee ifike 30000 ni ndogo. Kuna wavivu kibao wanalamba mkwanja wa maana na hawana mchango sana kwenye timu. Mfano, Demba Ba, Fernando Torres, ni wavivu na kwa sasa wamebaki majina tu.
Ndugu yangu bado soka hulijui...unamkataa torres...torres mvivu? Mvivu anacheza timu ya taifa ya Spain?
 
Kuna Tahira mmoja wa Manne United anasema Belgium ina pigania kumpata Januzaj ili aichezee Belgium! kwa taarifa yake tu
-Belgium haijagombea kumpata januzaj
-Belgium haifahamu hata kama kuna mtu anaitwa Januzaj
-Belgium kugombea mchezaji haitatokea kwani ina wachezaji wa kumwaga kama vile Spain,Brazil.
-Januzaj anagombewa na mataifa yasiyokuwa na wachezaji kwa mfano england,Kosovo,Turkey,albania!
-Hata kama januzaj akisema hataichezea belgium,hataipunguzia kitu belgium,yeye kwa belgium ni sawa na tone la maji ya chumvi katika maji ya bahari
Belgium kuna Chadli,Witsel,Mirallas,Hazard,! Wote hao viungo wa pembeni!! Hao walotajwa hapo hakuna wa kuwekwa bench na hako katoto kalikowafunga washika mkia Sunderland!!

sawa kaka.....kati yako na hawa..... Belgium target Adnan Januzaj for international call-up | Football News | Sky Sports tumuamini nani???jibu liko wazi.
 
Kawafunga Sunderland yamekuwa hayo, angewafunga Bayern Munich ingekuwaje?

inaonyesha wewe umeanza kumuona dogo game ya sunderland....at least ungemuona tangu pre-season tour ungejua kwanini watu wanamzungumzia....ana potential ya kuwa mchezaji mzuri......chochote kinaweza kutokea in future....
 
Kuna Tahira mmoja wa Manne United anasema Belgium ina pigania kumpata Januzaj ili aichezee Belgium! kwa taarifa yake tu
-Belgium haijagombea kumpata januzaj
-Belgium haifahamu hata kama kuna mtu anaitwa Januzaj
-Belgium kugombea mchezaji haitatokea kwani ina wachezaji wa kumwaga kama vile Spain,Brazil.
-Januzaj anagombewa na mataifa yasiyokuwa na wachezaji kwa mfano england,Kosovo,Turkey,albania!
-Hata kama januzaj akisema hataichezea belgium,hataipunguzia kitu belgium,yeye kwa belgium ni sawa na tone la maji ya chumvi katika maji ya bahari
Belgium kuna Chadli,Witsel,Mirallas,Hazard,! Wote hao viungo wa pembeni!! Hao walotajwa hapo hakuna wa kuwekwa bench na hako katoto kalikowafunga washika mkia Sunderland!!

duh kaka umekuja ju km moto wa kifuu, kuitete ubelgiji kwani wewe ni mbelegiji?

lakini akina kashaga dada zao wengi wameolewa uko nimekuelewa kaka
 
Kuna Tahira mmoja wa Manne United anasema Belgium ina pigania kumpata Januzaj ili aichezee Belgium! kwa taarifa yake tu
-Belgium haijagombea kumpata januzaj
-Belgium haifahamu hata kama kuna mtu anaitwa Januzaj
-Belgium kugombea mchezaji haitatokea kwani ina wachezaji wa kumwaga kama vile Spain,Brazil.
-Januzaj anagombewa na mataifa yasiyokuwa na wachezaji kwa mfano england,Kosovo,Turkey,albania!
-Hata kama januzaj akisema hataichezea belgium,hataipunguzia kitu belgium,yeye kwa belgium ni sawa na tone la maji ya chumvi katika maji ya bahari
Belgium kuna Chadli,Witsel,Mirallas,Hazard,! Wote hao viungo wa pembeni!! Hao walotajwa hapo hakuna wa kuwekwa bench na hako katoto kalikowafunga washika mkia Sunderland!!

article-2191648-14A42833000005DC-886_468x726.jpg
article-2447175-18913B9800000578-18_306x614.jpg
 
Kawafunga Sunderland yamekuwa hayo, angewafunga Bayern Munich ingekuwaje?
Majungu sio mtaji useme ufanye utajirikee, Majungu sio biashara useme uuze ufanikiwee, Ukiwa unaoona Elimu ni basi basi basi, Basi jaribuuu Ujingaaah. (T O T )
 
Kuna Tahira mmoja wa Manne United anasema Belgium ina pigania kumpata Januzaj ili aichezee Belgium! kwa taarifa yake tu
-Belgium haijagombea kumpata januzaj
-Belgium haifahamu hata kama kuna mtu anaitwa Januzaj
-Belgium kugombea mchezaji haitatokea kwani ina wachezaji wa kumwaga kama vile Spain,Brazil.
-Januzaj anagombewa na mataifa yasiyokuwa na wachezaji kwa mfano england,Kosovo,Turkey,albania!
-Hata kama januzaj akisema hataichezea belgium,hataipunguzia kitu belgium,yeye kwa belgium ni sawa na tone la maji ya chumvi katika maji ya bahari
Belgium kuna Chadli,Witsel,Mirallas,Hazard,! Wote hao viungo wa pembeni!! Hao walotajwa hapo hakuna wa kuwekwa bench na hako katoto kalikowafunga washika mkia Sunderland!!

Mara ya Mwisho Umepima Malaria Lini? Jitahidi uwe unapima mara kwa mara ni ugonjwa hatari sana ukipanda kichwani.

Vinginevyo Unaishi Kwenye ulimwengu wa Kizazi cha porini ambacho hakipati habari hadi ifike usiku kumsikiliza Shafii Dauda ndo kijue kuna nn kimetokea kwenye ulimwengu wa michezo hasa Ulaya.

"We gave a clear signal [that we want him to play for Belgium] and now it's up to him. I will respect his choice." - Belgium Coach Wilmots told reporters
 
Kuna Tahira
mmoja wa Manne United anasema Belgium ina pigania kumpata Januzaj ili
aichezee Belgium! kwa taarifa yake tu

-Belgium haijagombea kumpata januzaj
-Belgium haifahamu hata kama kuna mtu anaitwa
Januzaj

-Belgium kugombea mchezaji haitatokea kwani ina wachezaji
wa kumwaga kama vile Spain,Brazil.

-Januzaj anagombewa na mataifa yasiyokuwa na wachezaji
kwa mfano england,Kosovo,Turkey,albania!

-Hata kama januzaj akisema hataichezea
belgium,hataipunguzia kitu belgium,yeye kwa belgium ni sawa na tone la
maji ya chumvi katika maji ya bahari
Belgium kuna
Chadli,Witsel,Mirallas,Hazard,! Wote hao viungo wa pembeni!! Hao
walotajwa hapo hakuna wa kuwekwa bench na hako katoto kalikowafunga
washika mkia Sunderland!!

maeleze yako yanaonyesha una chuki tu na dogo, haujali uwezo wake upo vipi, dogo kadri siku zinavyokwenda anaonyesha maujuzi, ndio maana watu kama akina rooney wanamkubali.
 
Kuna Tahira mmoja wa Manne United anasema Belgium ina pigania kumpata Januzaj ili aichezee Belgium! kwa taarifa yake tu
-Belgium haijagombea kumpata januzaj
-Belgium haifahamu hata kama kuna mtu anaitwa Januzaj
-Belgium kugombea mchezaji haitatokea kwani ina wachezaji wa kumwaga kama vile Spain,Brazil.
-Januzaj anagombewa na mataifa yasiyokuwa na wachezaji kwa mfano england,Kosovo,Turkey,albania!
-Hata kama januzaj akisema hataichezea belgium,hataipunguzia kitu belgium,yeye kwa belgium ni sawa na tone la maji ya chumvi katika maji ya bahari
Belgium kuna Chadli,Witsel,Mirallas,Hazard,! Wote hao viungo wa pembeni!! Hao walotajwa hapo hakuna wa kuwekwa bench na hako katoto kalikowafunga washika mkia Sunderland!!
hoja yako imetawaliwa na UNAZI kama siyo WIVU na DHARAU kwa jinsi inavyojidhiirisha: ngoja nipite tu.
 
inaonyesha wewe umeanza kumuona dogo game ya sunderland....at least ungemuona tangu pre-season tour ungejua kwanini watu wanamzungumzia....ana potential ya kuwa mchezaji mzuri......chochote kinaweza kutokea in future....
Usiamue kwa kudhani, mwisho wa yote unachokitetea ndicho ninachomaanisha. Hajawa bado, huend atakuwa!
 
Majungu sio mtaji useme ufanye utajirikee, Majungu sio biashara useme uuze ufanikiwee, Ukiwa unaoona Elimu ni basi basi basi, Basi jaribuuu Ujingaaah. (T O T )

Majungu? Nani kasingiziwa? Nani kapakaziwa? Kwani hayo yote si yamekuja baada ya kuwafunga vibonde Sunderland? Kuna jungu hapo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom