Adhabu za wanajeshi

Ni ujinga wa majeshi ya Afrika tu. Duniani huko tunaona wanajeshi hawafanyi ujinga huo bali wanakuwa ni msaada sana kwa raia.

Kama huyo gari wangejuwa tatizo li[pi mpaka limefunga geti lao, kama limeharibika wangemsaidia, wangeleta mpaka breakdown zao na mafundi wao kumpa msaada.

Jeshi lipo kwa usalama wa wananchi siyo kwa kutesa wananchi.


Ni ujinga tu waufanyao.
 
Nakazia
 
Wabongo ni washanba tu,nakumbuka mwaka mmoja maeneo ya Kawe Ukwamani nilikuwa stendi ya daladala ndani ya basi la UDA.Kwa mbele naona wanajeshi wanafanya mazoezi ya kutembea na mizigo mgongoni...nikachukua simu yangu nyeupe blackberry nikaanza kuchukua video,nipo siti ya mbele pembeni ya dereva.

Jamaa wakaniona,wanajeshi wawili wakaja upande wangu...kabla hawajanishusha nilianza mimi kushuka kuwafuata,dereva akanimbia watakupiga...nikamwambia tulia wewe.

Pale chini mzozo ukaanza lete simu,kwanini unapiga picha na maswali mengi.Hadi muda huu hakuna aliyenigusa...niliwapa jibu moja tu kwamba nimepiga picha kwasabu nalipenda Jeshi langu.Mmoja akapaza sauti toa memory card,mwingine akmwambia achana naye.

Narudi kwenye basi,abiria hawaamini...wakasema mimi ni mwenzao lakini wapi nikujiamini tu na kujitambua.

Confidence beats all.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Samtaimz tunawaogopa kupita kiasi hadi wao wanafikia hatua ya kujiona ni untouchable.
 
Umekaa na kademu kako geto ,Basi unajiona shujaa kujibu hivi .

Njoo mbeya 44 gharama za nauli kuja na kurudi nitalipa ili uone Kama sitakutundika bakora .
 
Naona mnajifagilia siku hizi hatuwashobokei ni wa kawaida sana,,,migwanda tu mpaka mashoga wapo jeshini cku hz,,,vijana wengi wengi saizi unfit jeshi limekuwa ajira kama ajira nyingine
Ukweli mchungu, watoto wa wakubwa wanaharibu chombo , kama upinde wapo pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…