Wakati wa ukoloni wa Mjerumani raia 3 walifanya makosa mwarabu, mhindi na mwafrika, wakatakiwa kila mmoja akatafute tunda kisha waadhibiwe. Mwarabu alikuwa wa kwanza kurudi ameleta ndimu, palepale akahukumiwa ile ndimu itiwe mku*duni mwake, mwarabu alicheka sana. Alipoulizwa kipi kinamchekesha na amepewa adhabu kali, alisema anamuonea huruma mhindi kwa kupenda sifa amemkuta amebeba tikiti maji.