Juzi nimepita hiyo njia nilijuta maana si kwa mashimo yake. Wakandarasi wengine wa aina waliojenga barabara ile wanapaswa kufutiwa leseni kabisa wapewe za kujenga njia za miguu kwenye mbuga za wanyama.Barabara ya kutokea jet lumo kwenda buza jamani ina mashimo mengi kama sio ya lami bhana....