Jimmy Romio
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 367
- 278
Kuna mashimo makubwa sana kwenye barabara ya kutokea Ferry hapa Dar karibu na geti la Ikulu yanasababisha foleni sana.
Wahusika kama watapata hizi taarifa tafadhali sana watuwekee hata mawe madogo madogo ili kupunguza hii kero. Mtu unatumia dkk 10 nzima pale sababu ya hayo mashimo.
Regards
Jimmy
Updates: Wahusika naona wameshachukua hatua.
Bado pale karibu na geti la kuingia soko la samaki ferry dsm.
Wahusika kama watapata hizi taarifa tafadhali sana watuwekee hata mawe madogo madogo ili kupunguza hii kero. Mtu unatumia dkk 10 nzima pale sababu ya hayo mashimo.
Regards
Jimmy
Updates: Wahusika naona wameshachukua hatua.
Bado pale karibu na geti la kuingia soko la samaki ferry dsm.