Aden Rage Mwenyekiti mpya Simba

Aden Rage Mwenyekiti mpya Simba

Luteni

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
2,274
Reaction score
303
Ukiritimba wa vilabu vyetu vya soka kuongozwa na wazee kwa vile tu ni waanzilishi wa vilabu bila kuwa na vision ya soka la kisasa umeisha jana baada ya Ismail Aden Rage kuibuka mshindi dhidi ya mpinzani wake mkuu Hassan Hasanoo.
 
ukiritimba wa vilabu vyetu vya soka kuongozwa na wazee kwa vile tu ni waanzilishi wa vilabu bila kuwa na vision ya soka la kisasa umeisha jana baada ya ismail aden rage kuibuka mshindi dhidi ya mpinzani wake mkuu hassan hasanoo.

huu ndio mwanzo wa mabadiliko tunayoyataka,.wazee vibandiko sasa basi inatosha,.tunataka mabadiliko.
 
Ukiritimba wa vilabu vyetu vya soka kuongozwa na wazee kwa vile tu ni waanzilishi wa vilabu bila kuwa na vision ya soka la kisasa umeisha jana baada ya Ismail Aden Rage kuibuka mshindi dhidi ya mpinzani wake mkuu Hassan Hasanoo.
Kamdambili wakae mkao wa kula sasa....
 
naona yale yale tu,

Rage amewahi kuwa kiongozi sehemu mbalimbali katika soka na bado aliacha matatizo kama ya hao walioondolewa
 
Hongera Rage, kula vitu!! Ndo hicho ulichokuwa ukipigania. U r better than Hasanoo
 
Hapa hakuna Jipya, Rage TFF Ilimshinda mpaka wakamfunga jela, tusubiri tuone!!!!!!!!
 
Ukiritimba wa vilabu vyetu vya soka kuongozwa na wazee kwa vile tu ni waanzilishi wa vilabu bila kuwa na vision ya soka la kisasa umeisha jana baada ya Ismail Aden Rage kuibuka mshindi dhidi ya mpinzani wake mkuu Hassan Hasanoo.

So RAGE = Kijana?
RAGE = Vision mpya?
 
naona yale yale tu,

Rage amewahi kuwa kiongozi sehemu mbalimbali katika soka na bado aliacha matatizo kama ya hao walioondolewa

Hahahahah Rage aliharibu FAT akafungwa, akaenda Moro Utd kaishusha daraja, akawa anataka rudi TFF jamaa wakampiga panga leo Simba ...sidhani kama kuna jipya atakalowaletea wanamsimbazi zaidi ya migogoro na kufuja mali....jamani of all the people mnatapa na Rage?
 
Hahahahah Rage aliharibu FAT akafungwa, akaenda Moro Utd kaishusha daraja, akawa anataka rudi TFF jamaa wakampiga panga leo Simba ...sidhani kama kuna jipya atakalowaletea wanamsimbazi zaidi ya migogoro na kufuja mali....jamani of all the people mnatapa na Rage?

Wakuu nimepokea ttarifa hizi kwa masikitiko makubwa; wazungu wanasema, if it aint broken, dont try to fix it!!!

unfortunately simba tumeruhusu nyag'au la michezo ambalo lilishawahi fungwa jela, kushusha daraja timu na kuharibu FAT kuwa kiongozi; tunachokiona hapa ni tabia yetu halisi ya kinafiki kumkubali mtu kama vile hakuna mtanzania anayeweza kuongoza soka badala ya huyu jamaa

MODS, UNGANISHENI HII NA LILE JUKWAA LETU TUKUFU LA WANASIMBA
 
Alisema 2mpe cku 100 2taona mapinduz na pia 2mpime kwa kgezo cha kuleta mabadilko ndan ya mcmbaz, hongera, bt mmmmmh, mwenyekiti Rage lakn skendo zako doa! Hongera
 
Hongera Mzee rage, mi ni kandambili lakini Rage namheshim huyo mzee atawasaidia maana keshajifunza jela si mchezo
 
How can you put into power former failed FAT (now TFF) leader who was also jailed because of corruption? Next season Simba performance will go down for sure
 
Na kwani tuliambiwa kazi ni kuongoza vilabu na vyama vya mpira tu? hakuna kazi zingine za kufanya? au ndo strategy ya kugombea ubunge Tabora?
 
Wakuu nimepokea ttarifa hizi kwa masikitiko makubwa; wazungu wanasema, if it aint broken, dont try to fix it!!!

unfortunately simba tumeruhusu nyag'au la michezo ambalo lilishawahi fungwa jela, kushusha daraja timu na kuharibu FAT kuwa kiongozi; tunachokiona hapa ni tabia yetu halisi ya kinafiki kumkubali mtu kama vile hakuna mtanzania anayeweza kuongoza soka badala ya huyu jamaa

MODS, UNGANISHENI HII NA LILE JUKWAA LETU TUKUFU LA WANASIMBA

Heri umesema wewe.........Eti kuna watu wanakaa na kujipongeza kumpata Rage kama chairman wa Simba............my foot....Poleni watani....bora hata ya Dalali lakini si Rage wala Wambura
 
Ukiritimba wa vilabu vyetu vya soka kuongozwa na wazee kwa vile tu ni waanzilishi wa vilabu bila kuwa na vision ya soka la kisasa umeisha jana baada ya Ismail Aden Rage kuibuka mshindi dhidi ya mpinzani wake mkuu Hassan Hasanoo.

hakuna mtakatifu katika uoungozi... tusihukumu mtu kwa historia.. tumhukumu kwa kiwango gani kageuza mapungufu yake kuwa mafanikio.. kwake na kwa jumuia anayoiongoza..
 
hakuna mtakatifu katika uoungozi... tusihukumu mtu kwa historia.. tumhukumu kwa kiwango gani kageuza mapungufu yake kuwa mafanikio.. kwake na kwa jumuia anayoiongoza..

Rage hafai kuiongoza Simba bana............Kaiua Moro United huyu...alivokuwa FAT ndo usiseme....Bora hata ya Dalali......anyways,siombei mabaya....Fingers crossed
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom