Njoo Arusha, barabara za mitaa ni mbovu kupita maelezo. Hakuna mtaa wenye barabara nzuri Arusha hata moja.
1. Serikali inamiliki milima ya moram.
2. Serikali ina magari yakupeba michanga, heavy equipment kwaajili ya ujenzi, lakini pia ina madereva.
3. Kwanini wasitenge bajeti ndogo kuboresha hizi barabara? Mbona ni issue ndogo sana?
4. Unakuta mbunge, mkuu wa wilaya etc, wanapita kwenye barabara hizi mbovu miaka na miaka, unajiuliza hawaoni? Shida ni nini hasa? Uvivu wakupindukia?
5. Lakini pia viongozi wa juu, wanaona lakini wanakaa kimya, vitu vingine wala si tatizo la pesa lakini hakuna anayejali?
6. Viongozi wa mitaa Tanzania na Arusha specifically mmechanganyikiwa? Nyie ni majuha? Hamuwezi kumobilize resources sasa mnaenda ofisini kufanya nini?