Mbona umetoa ya moyoni kiasi hicho mkuu. Mchomvu amekufanyaje kwani?anatafuta namba kwa wahuni ana lolote af clouds ya wanawake wAnamuogopa tu na kumpa bichwa. in case hana cash atasumbua maskini wenzie hapo redioni.
nliwahi kumuona airport alfajiri kaletwa na boda kashushiwa nje coz boda haziingii ndani. hana lolote njaa tu.
aje kwa wahuni huku af ajione alivomchumba.
ana mambo ya kitoto 4 times unapiga watu mbele ya umati. watu wana watoto na wanategemewa watachukuliwaje mbele ya watu wao muhimu.Mbona umetoa ya moyoni kiasi hicho mkuu. Mchomvu amekufanyaje kwani?
Hata hvyo wavuta mibangi ni kama masai wanabadilika muda wowote
Mfano mmasai mnaweza mkacheza draft ukimfunga sana unashangaa anatoa panga
Hapana, kampiga pichaKampiga mtama au
Adamu 'Mibangi' mtangazaji wa Clouds wa kipindi cha XXL amempiga makonde mazito msanii wa siku nyingi Q Chief/Q Chilla/Savimbi mnamo tarehe 1 March 2023,alivyokwenda kutambulisha Ep yake kwenye kipindi hicho,msanii huyo aliweza kujizuia kutokuonyesha hali ya jazba na kuendelea na kilichompeleka.
Msanii Q chief amechukua hatua za kisheria dhidi ya mtangazaji huyo.
Habari zaidi msikilize mwanasheria wa msanii huyo,
View attachment 2551144View attachment 2551145
Hii si mara ya kwanza Adam kufanya shambulio la kudhulu mwili, alifanya hivyo kwa Emanuel Mbasha, Alifanya hivyo Kwa Mtangazaji mwenzie enzi yupo Clouds Dina Marios, Geah Habib,nk hapo hapo clouds na kusababisha kusimamishwa kwa muda asiende kazini.
Hii tabia inaharibu brand ya Clouds iliyowekwa kwa muda mrefu.
Joseph Kusaga huyu bwana mdogo anakuharibia sana hapo clouds fukuza kazi ulinde brand ya kampuni,kampuni kwanza mtu baadae!
Mzaha mzaha hutumbua usaha wahenga walinena,usipoziba ufa utajenga ukuta.Wacha kukumbatia wahuni fukuzia mbali.
Mfano Mbasha alipigwa kwa kuongea upumbavu mbele ya watu..kwanini yeye kupigwa mbele za watu iwe kesi?ana mambo ya kitoto 4 times unapiga watu mbele ya umati. watu wana watoto na wanategemewa watachukuliwaje mbele ya watu wao muhimu.
😳Hivi Adam anampigaje mtu wakati ye mwenyewe mchumba tu.
akijichanganya huyu ndo atasimulia kwao.Mfano Mbasha alipigwa kwa kuongea upumbavu mbele ya watu..kwanini yeye kupigwa mbele za watu iwe kesi?
hahahahaKampiga mtama au