Adabuni kweli ....

Adabuni kweli ....

Tutor B

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2011
Posts
9,025
Reaction score
6,614
Hivi huwa inakuweje ….
Mtu na akili zake anakubali kufanya mambo fulani sehemu isiyo rasmi? Kwenye gari / ofisini / pembezoni mwa barabara …. Kibaya zaidi utakuta mtu anampeleka mwenzake adabuni then wanado…. Imekaaje hiyo wana JF.
 
Hivi huwa inakuweje ….
Mtu na akili zake anakubali kufanya mambo fulani sehemu isiyo rasmi? Kwenye gari / ofisini / pembezoni mwa barabara …. Kibaya zaidi utakuta mtu anampeleka mwenzake adabuni then wanado…. Imekaaje hiyo wana JF.
bichwa lako linawaza ngono zembe muda wote!subiri wazinzi wenzio wasupport ujinga wako
 
Mkuu... They say love doesnt ask why!!

Lakini mi naona hayo ni yale mapenzi yasiyo rasmi.. Yani yale mapenzi hasa ya kuiba iba sana! Maybe umechukua mke wa mtu ama kama ni ofisini basi mmechakachuana na mfanyakazi mwenzio! Things goes like that...!

By the way...! Wanasema mapenzi ni UCHIZI...! labda ndio huo hasaaaa!!
 
adventures siku moja moja sio mbaya, chamsingi usikere watu tu!
 
Mkuu... They say love doesnt ask why!!

Lakini mi naona hayo ni yale mapenzi yasiyo rasmi.. Yani yale mapenzi hasa ya kuiba iba sana! Maybe umechukua mke wa mtu ama kama ni ofisini basi mmechakachuana na mfanyakazi mwenzio! Things goes like that...!

By the way...! Wanasema mapenzi ni UCHIZI...! labda ndio huo hasaaaa!!

Hapo kwenye bold kuna ukweli ...
 
Sehem rasmi ni ndani au wapi? kama ni hivyo mbona kuna watu wanaleta sredi hapa kwa usumbufu wanaoupata kwa kuskia yanayoendelea chumba cha jirani.

Cha msingi ni kujifunza kucontrol macho na maskio yako ukiona gari ya watu inanesa nesa sio lazima ukahakikishe kinachoendelea humo..............................watu wana fantasy zao za ajabu eti

Btw mi mwenyewe kuna jambo langu nna mpango wa kulifanyia juu ya paa la nyumba sijui huko nako sio rasmi????
 
mkuu... They say love doesnt ask why!!

Lakini mi naona hayo ni yale mapenzi yasiyo rasmi.. Yani yale mapenzi hasa ya kuiba iba sana! Maybe umechukua mke wa mtu ama kama ni ofisini basi mmechakachuana na mfanyakazi mwenzio! Things goes like that...!

By the way...! Wanasema mapenzi ni uchizi...! Labda ndio huo hasaaaa!!

tunakutafuta
 
Kumbe kufanya mapenzi ni kutiana adabu loh!!!!!!!!!!!!!! Ha ha haha
 
Hivi huwa inakuweje ….
Mtu na akili zake anakubali kufanya mambo fulani sehemu isiyo rasmi? Kwenye gari / ofisini / pembezoni mwa barabara …. Kibaya zaidi utakuta mtu anampeleka mwenzake adabuni then wanado…. Imekaaje hiyo wana JF.

Adabuni ni wap
 
Sehem rasmi ni ndani au wapi? kama ni hivyo mbona kuna watu wanaleta sredi hapa kwa usumbufu wanaoupata kwa kuskia yanayoendelea chumba cha jirani.

Cha msingi ni kujifunza kucontrol macho na maskio yako ukiona gari ya watu inanesa nesa sio lazima ukahakikishe kinachoendelea humo..............................watu wana fantasy zao za ajabu eti

Btw mi mwenyewe kuna jambo langu nna mpango wa kulifanyia juu ya paa la nyumba sijui huko nako sio rasmi????

we mwanga nini? juu ya paa kweli
 
Back
Top Bottom