Ada ya kusomea Diploma ya Afya Vyuo vya Serikali

Ada ya kusomea Diploma ya Afya Vyuo vya Serikali

SAM MOLE

Member
Joined
Dec 16, 2014
Posts
27
Reaction score
17
Ndugu wana jukwaa Wa JF ,naombeni mnijulishe ada ya kusoma diploma medicine kwa vyuo vya serikali tafadhali. Msaada wenu tafadhali wakubwa.
 
Lakii 8 na 45 fulanihivii kwa dental medicine hapaa mbeya rufaa kula na kulala kilakituu baba wanachukua watu 16 tuu
 
haya kijana wangu mshauli aje dental rufaa au kama anataka nursing aje kutukuyu ku south
 
haya kijana wangu mshauli aje dental rufaa au kama anataka nursing aje kutukuyu ku south

Hahahahaha etiii kutukuyuu kusouth hahahahaha njoo dental mbeya ada laki 845 kwa mwaka kula kulala kiujumla ndoiyoo yotee ovaaaaa#
 
Wakuu...naomba kuuliza kama kuna chuo cha Clinical Officer mkoani Mbeya au Iringa...Binafsi nimeulizia nimeshindwa kupata jibu.Nishaapply vyuo vtatu vya serikali mtandaoni,lakin idad ya waombaji ni kubwa na ninapata waswas wa kuchaguliwa...Naomben msaada wenu..
Ahsanten!!

(Nina B+ ya chem,Bios na Phys)
 
Wakuu...naomba kuuliza kama kuna chuo cha Clinical Officer mkoani Mbeya au Iringa...Binafsi nimeulizia nimeshindwa kupata jibu.Nishaapply vyuo vtatu vya serikali mtandaoni,lakin idad ya waombaji ni kubwa na ninapata waswas wa kuchaguliwa...Naomben msaada wenu..
Ahsanten!!

(Nina B+ ya chem,Bios na Phys)
Mwanangu ww huwez kuachwa
 
Wanajukwaa kuna chuo cha c.o mbeya nakama kipo adayao kiasi gani naomba msaada wakuu
 
Chuo kipo mafinga cha CO ila ada sijajua ni sh ngapi kwa sasa,mm wkt nasoma ilikuwa laki moja na nusu 2005
 
jaman nisaidieni
naweza kusoma clinical officer?
matokeo nikama ifuatavyo 2016
bios D
hist D
Engl D
civics C
chemi D
geog D
kiswahili C
naombeni mnisidie ndug zangu
 
pole mkuu ..huwezi soma diploma ya clinical officer.. vigezo ni c tatu kwa masomo ya chem ,phy, bios..hapo kwenye phy ndo umevuruga ungeweza soma clinical assistant yaani CA
 
Back
Top Bottom