Ada ya clinical medicine inalipwa mara ngapi kwa mwaka?

Ada ya clinical medicine inalipwa mara ngapi kwa mwaka?

kid key

Member
Joined
Jun 30, 2015
Posts
28
Reaction score
10
Kwa waliowahi kusoma chuo kozi ya clinical medicine, Ada yake inalipwa mara ngapi kwa mwaka?
 
Kwa waliowahi kusoma chuo kozi ya clinical medicine, Ada yake inalipwa mara ngapi kwa mwaka?
Kwa vyuo vya serikali ni Mara mbili kwa mwaka. Mwanzo wa semista ya kwanza, na mwanzo wa semista ya pili. Ila kwa vyuo vya private naona ili kupata wanafunzi kulipa vingine mpk awamu nne
 
Kwa private Mara nyingi kama Ada yako ni ya kuungaunga na kwakuwa ada yao ni kubwa utalipa MARA 4 !

Serikalini ma 2 !
 
Asante mkuu.... Na unaweza nishauri vyuo vipi ni vizuri? Kati ya hivi Kibaha,
Lugalo, na Kilosa?
Kwa vyuo vya serikali ni Mara mbili kwa mwaka. Mwanzo wa semista ya kwanza, na mwanzo wa semista ya pili. Ila kwa vyuo vya private naona ili kupata wanafunzi kulipa vingine mpk awamu nne
 
Asante sana..... Una idea yoyote na chuo cha private kizuri?
Kwa private Mara nyingi kama Ada yako ni ya kuungaunga na kwakuwa ada yao ni kubwa utalipa MARA 4 !

Serikalini ma 2 !
 
Vyote hivyo ni vya serikari hivyo labda tofauti itakuwa mazingira ya mkoa chuo kilipo
 
Kibaha na Kilosa ni the best. Chagua kimojawapo, Mimi nilisoma Kilosa
Na mimi haya yananihusu nisaidie kilosa hostel zipo ndani au unakaa nje ya chuo na karo wanapokea kwa awamu ngapi
 
Na mimi haya yananihusu nisaidie kilosa hostel zipo ndani au unakaa nje ya chuo na karo wanapokea kwa awamu ngapi
Hostel ndani na baadhi hukaa nje ila karibu na chuo. Ada hupokea Mara mbili kwa mwaka, ila Mimi nililipa mwaka wa tatu madeni. Ndo uzuri wake,
 
Kama Kuna mwanafunzi ana sifa za kujiunga na diploma ya Clinical Medicine au pharmacy na unahitaji kwa mwaka huu nakuomba PM nikupe utaratibu utakaokusaidia kupata ufadhili ikiwa utakidhi vigezo. Naomba awe mwanafunzi mwenyewe atakayekuja tafadhali.
 
Kama Kuna mwanafunzi ana sifa za kujiunga na diploma ya Clinical Medicine au pharmacy na unahitaji kwa mwaka huu nakuomba PM nikupe utaratibu utakaokusaidia kupata ufadhili ikiwa utakidhi vigezo. Naomba awe mwanafunzi mwenyewe atakayekuja tafadhali.
Sisi wengine ni wazazi. Tunatafuta kwa ajili ya watoto wetu. Sasa naomba Kama inawezekana tuwekee hapa utaratibu tuwawezeshe watoto wetu. Mimi hasa ni mhitaji kwa mwanangu.
 
Sisi wengine ni wazazi. Tunatafuta kwa ajili ya watoto wetu. Sasa naomba Kama inawezekana tuwekee hapa utaratibu tuwawezeshe watoto wetu. Mimi hasa ni mhitaji kwa mwanangu.
Sikushindwa kuweka hapa ila kuna taarifa binafsi za mwanafunzi zinahitajika ndio maana nikasema waje PM.
 
Ukiingia online mkuu deal na mimi kwanza
Kama Kuna mwanafunzi ana sifa za kujiunga na diploma ya Clinical Medicine au pharmacy na unahitaji kwa mwaka huu nakuomba PM nikupe utaratibu utakaokusaidia kupata ufadhili ikiwa utakidhi vigezo. Naomba awe mwanafunzi mwenyewe atakayekuja tafadhali.
 
Back
Top Bottom