habari wana jamii forum,
kwa wale wanaofuatilia bunge let mtakuwa mmegundua kua waziri mkuu alipotoka bungeni kwenda arusha alimuachia mh. Sitta bunge.Je mnaonaje jinsi Mh. Sitta anavyojibu maswali na hoja mbalimbali bungeni mkilinganisha na mheshimiwa wetu.
Akihitimisha mjadala wa bunge jioni hii naibu wa spika ndg Job Ndugai amelitangazia bunge kuwa session ya maswali kwa waziri mkuu kwa alhamisi ya tarehe 9/5/2013 haitakuwepo.
Hakuna sababu zilizotolewa kuhusiana na kusitisha utaratibu huu aliojiwekea mh waziri mkuu.
MY TAKE
Pinda amekacha maswali yanayohusu tukio la arusha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.