Hawa jamaa hawakupima upepo kuhusu siasa za nchi yetu, walikurupuka - ingekuwa ni rahisi hivyo kuanzisha chama cha siasa na kikakubalika basi hata mimi ningekuwa na cha kwangu.
Sasa hapo unategemea kutakuwa na Diwani hata mmoja kweli 2015??? Mwenyekiti mtarajiwa huko uliko tunaomba majibu tafadhali - Maji yanazidi unga huku, itabidi tulalie UJI badala ya UGALI.