huoni jamaa jukwaani wakimwaga sera!!!? aaaaah aaaaaah aaaaah
WAPI msalani, ifeero, laki siyo pesa nk.
Njooni mkane hilo jengo haliko kigoma mkane na haya magari ya lumumba yaliyopigwa rangi ya act. Njooni mkane ka alivyofanyia andiko Mwakyembe na yule prof miyemnunua kwa tishio la kumrejesha india.