Kyooma
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 224
- 98
Leo kuanzia sa 9 alasiri kijijini mkulumilo wilaya ya muheza mkutano wa act unaendelea watu waliofika ni 32 (nimewahesebu) katibu wa ACT wilaya anasema octoba wanachukua nchi wananchi wajiandae maisha bora ambayo walikua wakiota kuwa nayo
baada ya kuona watu hawaitikii na kuongezeka akamwambia dj aweke disco ili kuvuta watu sasa hivi siyo kuongelea sera tena watu wanasakata rumba
ntazidi kuwajuza mengi zaidi
baada ya kuona watu hawaitikii na kuongezeka akamwambia dj aweke disco ili kuvuta watu sasa hivi siyo kuongelea sera tena watu wanasakata rumba
ntazidi kuwajuza mengi zaidi