ACT presha ya nini!

hivi hiki chama kipo nchi gani maana sijawahi kisikia zaidi ya hapa jf ama fb basi ,huku mitaani ni cdm na ccm ttu
 

Mkubwa

Hao ACT wanatafuta kick kwa Chadema,

Waache wapime wenyewe ili wajue kama Chadema ni saizi yao ama lah. Ukiwajadili wao ndio wanafurahi, ndio kitu roho yao inapenda.

Kwa sasa tuwape muda wajijenge, lakini kick wanayoitafuta kupitia chadema haitowasaidia kiviiiiiiile, maana umri wa Chadema unatosha kabisa kuwa kama sio baba basi mama wa ACT. Sasa baba au mama akipagana na mtoto, si kila mmoja atamshangaa huyo mzazi? Chadema kupambana na CCM ni sawa bin sawia, maana hali ya siasa, uchumi na jamii ingekuwaje nchi hii leo hii bila chama cha imara cha upinzani kama Chadema bara ama CUF pale Zanzibar?
 

si ujiunge huko,mayowe ya nini???
wewe ulishaona wapi chama cha upinzani kinashabikiwa na maccm????? eti wanachama wa ccm ndo hao hao wa act!!!!!!!!! hii ni zaidi ya usanii !
 
Hiki ndio chama kitakacho tugombowa wa tanzania act tupo pamoja
 
Tangu niliposikia maelezo ya ACT siku ya press conference yao, nikawapuuza.
 
chama makini cha ACT ndicho kitakachotuletea maendeleo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…