kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,800
- 694
Viongozi wa muda wa ACT Mkoani Mwanza wanahojiwa na Star TV kwenye kipindi cha medani za siasa. Mtangazaji ni Yvonne Kamuntu. Wanasema hadi sasa wana wanachama mikoa 18 ya Tanzania bara ambao wanakidhamini ili wapate usajili wa kudumu.