ACT: Lowassa ndo aliyetunyima wabunge

ACT: Lowassa ndo aliyetunyima wabunge

issaya mgatta

Member
Joined
Apr 4, 2013
Posts
32
Reaction score
5
Kiongozi wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amesema nguvu ya Lowassa ilivuruga mpango wake wa kupokea wabunge 50 kabla ya uchaguzi mkuu #MWANANCHI
 
huyu jamaa naona sasa kabaki kufanya siasa magazetini tualishindwa hata kumnadi mgombea urais wa chama chake akabaki kujipigia debe mwenyewe ndio maana hata kwenye picha za wagombea ubunge na udiwani wa mikoa mingine alikuwa anaweka picha za chama chake
 
Hivi bado kuna watu wanaomsikiliza huyu mnafiki na msaliti? Hao 50 angewapokea kabla ya uchaguzi kutoka wapi? Aliamini angeimaliza CHADEMA ambayo idadi ya wabunge wake wote pamoja na Mbowe na Lissu hawafiki 50!!!!

Kiongozi wa ACT-Wazalendo Zitto KABWE amesema nguvu ya LOWASSA ilivuruga mpango wake wa kupokea wabunge 50 kabla ya uchaguzi mkuu #MWANANCHI
 
huyu jamaa naona sasa kabaki kufanya siasa magazetini tualishindwa hata kumnadi mgombea urais wa chama chake akabaki kujipigia debe mwenyewe ndio maana hata kwenye picha za wagombea ubunge na udiwani wa mikoa mingine alikuwa anaweka picha za chama chake

Napita mbali sn Nikona zzk kama souse ya habari
 
Back
Top Bottom