ACT kumeguka tena

ACT kumeguka tena

Hakuna neno.....ametoka upinzani ameenda upinzani....

Ni kama alivyofanya Kafulila...katoka NCCR kenda CDM.

Sote lengo ni moja tu...kuitoa CCM madarakani.....

Njia tunazotumia kuitoa ni tofauti...wengine wanatumia gari...wengine baskeli......ukiwa ACT ni kama unatumia ndege kufika kule uendako (uharaka)
Bado weeweeeeee.............
 
ACT works best with CDM, kuna haja ya Zitto kukaa na CDM na kuzungumza, Zitto will thank me for this ....
Brother umesema ukweli ila ukikumbuka sababu zilizomtoa Zitto chadema ni ule ukaskazini. Hivyo tusimtegemee bwana MBOWE na Mzee MTEI siku moja wakubali kushirikiana na Zitto.. Upinzani bado una kazi kubwa ya kufanya ili kuitoa Ccm. ukawa Ungekuwa imara kwa maana ya kuhusisha vyama vingi zaidi vya upinzani wakawa na formal political coalition ingewezekana. Tofauti na hivyo tumeshuhudia kuparaganyika kwa mahusiano ya Ukawa ktk chaguzi za madiwani na mbunge huko Zanzibar.kila chama ( cuf na cdm)wameweka wagombea wao. Lowasa alitarajiwa na wengi kuimarisha Ukawa ili ifikapo 2020 kazi iwe rahisi lakini kashindwa na matokeo yake tumeshuhudia pia mpasuko mkubwa cuf. Lowasa hana mvuto tena miongoni mwa wananchi na hata wanachama wa cdm.
 
Nilipowaambia Prof Ndeli atstwaa Jimbo povu kama omo sasa mtaelewa, Siasa ni chama kwanza hata km MTU ni imara
 
Back
Top Bottom