Gomic
Senior Member
- Dec 8, 2012
- 102
- 30
Wadau na Wazalendo.
Nimeona Tangazo la ACT maeneo ya hapa DSM mjini likiashiria kuwa kutakuwa na mkutano mkubwa wa chama hiki.
ACT ni chama kinachoangaliwa kwa jicho la karibu na wananchi wengi na masikio yao yapo wazi kusikia kinachozungumzwa na viongozi wa ACT.
Nikiwa kama mzalendo na mkereketwa wa Uzalendo, naweza jua hasa ni lini na viwanja vipi mkutano huu utafanyika?
Nimeona Tangazo la ACT maeneo ya hapa DSM mjini likiashiria kuwa kutakuwa na mkutano mkubwa wa chama hiki.
ACT ni chama kinachoangaliwa kwa jicho la karibu na wananchi wengi na masikio yao yapo wazi kusikia kinachozungumzwa na viongozi wa ACT.
Nikiwa kama mzalendo na mkereketwa wa Uzalendo, naweza jua hasa ni lini na viwanja vipi mkutano huu utafanyika?