Void ab initio
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 5,723
- 5,662
Thubutu! hizi alinacha za Supreme traitor tumeshazisikia sana tangu 2012 anazungukazunguka tu.
Vp mkuu umeahidiwa viti maalum nini?
Thubutu! hizi alinacha za Supreme traitor tumeshazisikia sana tangu 2012 anazungukazunguka tu.
Kiingie tena jijini Dar, wakati kilianzia Dar na kwenda ku-rebrand kule Kigoma.
Viongozi wake wakuu wote wanaishi Dar siku zote na makao yake makuu yapo Dar.
Hivi bado kinajitambulisha kwa watanzania wakati kimekuwepo zaidi ya mwaka sasa?
Vp mkuu umeahidiwa viti maalum nini?