umenena kweli mkuu! chukua like yangu hiyo!
ZITO kawaacha hoi cdm songea.walitaraji kusikia siasa kama za kwao zakusemana hovyo.
huyu jamaa atawasumbua sana cdm.
nayeye kasema kabisa hatakaa kuongelea yaliyotokea cdm.
leo songea kaweka histolia mzarendo ZITO
Kitendo cha ACT kueneza siasa pasipo chuki kumeongeza imani kwa wananchi na kukipa credit zaidi ya vyama vingine nchini.
Nahisi mnaota ndoto za mchana ...ccm na tiss yake wameshindwa kuinyamazisha cdm ijekuwa huyo mburura
ninayo kadAsante mkuu lkn pia nawe uchukue kadi ya WAZALENDO kama hujachukua.
Hakika ACT wameonesha jinsi siasa zinavyo takiwa kuendesha..! Hiki chama kimejaa wazalendo tupu.