ACT - Chama cha Ukweli & Uwazi!

kindafu

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
1,346
Reaction score
1,682
Wakuu chama cha ACT kilipomchagua ndugu Zitto kuwa Kiongozi Mkuu wa Chama, tuliletewa hapa Jamvini, Fomu zinazodaiwa kujazwa na kutiwa sahihi na yeye ku-declare mali zake! Tuliambiwa kuwa hiyo ndio sera ya chama na kwamba kila kiongozi atapaswa kufanya hivyo na mambo yatawekwa hadharani! Sina uhakika kama viongozi wengine waandamizi wa chama walishatekeleza hilo au bado wako kwenye mchakato wa kulifanyia kazi! Kwa sasa niombe kama tunaweza kupewa updates juu ya fedha & mali za chama, vyanzo vya chama vya mapato, pamoja na hesabu za mapato na matumizi ya chama kufikia Juni 30, 2015.
 
kudeclare mali siyo shida, atuambie anafanya biashara gani zinazomwezesha kuwa na hizo mali
 
atutajie anayegharamia mizunguko yake inayofanana na mbio za mwenge nchi nzima , haiwezekani kuzunguka nchi nzima kwa biashara ya migebuka tu .
 
ACT tena tehtehteh bavicha tuleteeni mgombea wenu wa urais ACT achaneni nayo.
 
wewe kama nani unauliza mapato na matumizi ya act?? wenye chama watapewa taarfa kwenye mkutano mkuu sasa wewe subir apa jf
 
wewe kama nani unauliza mapato na matumizi ya act?? wenye chama watapewa taarfa kwenye mkutano mkuu sasa wewe subir apa jf

Mkuu kuwa mpole, mbona "Fomu za mali" za Zitto,mlituletea hapa Jamvini? Kwani si ninyi wenyewe mliahidi kwamba mtaweka kila kitu wazi? Yamekuwa hayo tena?
 

Hivi ile kampuni ya lekadutigite aliitaja kuwa ni moja ya Mali zake,na zile fedha zilizolipwa zilikuwa ni kwa kazi gani
 
Mkuu kuwa mpole, mbona "Fomu za mali" za Zitto,mlituletea hapa Jamvini? Kwani si ninyi wenyewe mliahidi kwamba mtaweka kila kitu wazi? Yamekuwa hayo tena?

Mkuu moja ya masharti ya kiongozi mkuu,ni kutohojiwa wala kuulizwa,kiufupi haguswi
 
wewe kama nani unauliza mapato na matumizi ya act?? wenye chama watapewa taarfa kwenye mkutano mkuu sasa wewe subir apa jf

Tulia wewe wacha ukali,hakuna anayeogopa huo mkwala wako
 
atutajie anayegharamia mizunguko yake inayofanana na mbio za mwenge nchi nzima , haiwezekani kuzunguka nchi nzima kwa biashara ya migebuka tu .

Mkuu utaopokea matusi kibao,kutoka kwa wapambe wa the supreme leader, maana wakali kishenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…