PEVU HALISI
JF-Expert Member
- Dec 19, 2018
- 207
- 85
Unatoa msaada kwa manzi kiroho safi tu, mwisho wa siku anakuchukulia kama danga.
Acheni hizo mambo nyie wasichana.. Wanaume wastaarabu bado tupo.
N:B
Baadhi, sio wote.
Acheni hizo mambo nyie wasichana.. Wanaume wastaarabu bado tupo.
N:B
Baadhi, sio wote.
ata ukisaidia kwa nia njema ya kutohtaj kitu bado watakudanga tu, wanawake wanapenda sana penye urahis wa kutoa