Achana na xender, sasa tumia njia hii?

Achana na xender, sasa tumia njia hii?

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,293
Reaction score
2,623
Najua watu wengi mnatumia app ya Xender kuweza kurusha vitu mbalimbali ila Sio Salama kwako ? [emoji848]

App ya Xender ni moja wapo ya app ambayo inatumiwa Sana ulimwenguni kwani husaidia kuweza kuhamisha vitu kama vile picha ,video , audio, documents ma file makubwa Kwa madogo kutoka simu moja kwenda nyingine.

Ila app ya Xender sio Salama kwako !!! Ni moja app ambayo inaongoza kueneza virusi pia kuchukua taarifa za ki binafsi za mteja bila kujua na kuziuza.

Achana na XENDER [emoji3]..!!

Tumia "files by google" ni app nzuri Sana ya kuweza kuhamisha kitu chochote kutoka Kwenye simu moja Kwenda nyingine bila shida yoyote ile.

• utaweza kushare kitu chochote offline Utumi mb
• unaweza kuongeza nafasi ya simu Yako
• unaweza Fanya backup za taarifa zako Kwenye cloud mbalimbali Ili ikitokea umepoteza au kuibiwa simu utaipata.

Nilichokipenda zaidi unaweza kurudisha kitu ulicho kidelete kuanzia Kwenye memory card au internal storage picha, video , apps , documents nk.

File lolote unalotuma liko Salama pia data zako ziko Salama huwezi kuathilika pia ikitokea unataka kuinstall app ambayo Ina virus itakujulisha

Jinsi ya kutumia ni rahisi fungua iyo app ya files by google >>utaona neno share utaweza kushare kitu chako chochote kile.

Achana na [emoji3]Xender Tumia Files by Google

Ebu tuachie maoni Yako unatumia app gani kurusha picha , video , documents , apps kutoka Kwenye simu kwenda nyingine ?
IMG_20220412_102439_270.jpg
 
XENDER ni mtambo mwingine usiufananishe na iyo takataka
Xender inaspidi FBG inaspidi ndogo
>Unaweza kuhamisha vitu kutoka kwenye simu to PC kwa spidi kali sana kuliko ata USB,FBG huwezi ata kuconnect na PC ata online tu sembuse offline kama xender?
>Xender unaweza kubadilishana mafaili kati ya IOS na Android FBG huwezi
>FBG feature yake nzuri ni ya kufuta duplicate na unused files tu ila usiilinganishe na XENDER utachekwa mchana kweupe
 
Xender tushaizoea tunaitumia karibia miaka 10 halafu wakuibiwa data watu wa politics sisi wengine labda hatari kwa app za fedha na kuna security kibao, zaidi ya hapo hamna cha kuibiwa
 
XENDER ni mtambo mwingine usiufananishe na iyo takataka
Xender inaspidi FBG inaspidi ndogo
>Unaweza kuhamisha vitu kutoka kwenye simu to PC kwa spidi kali sana kuliko ata USB,FBG huwezi ata kuconnect na PC ata online tu sembuse offline kama xender?
>Xender unaweza kubadilishana mafaili kati ya IOS na Android FBG huwezi
>FBG feature yake nzuri ni ya kufuta duplicate na unused files tu ila usiilinganishe na XENDER utachekwa mchana kweupe
Haiwezekani app yoyote ya wifi kuwa na speed kushinda USB, unless unatumia tech za miaka 20 iliopita.

Usb 3.0 ni 5gbps, usb 3. 1 ni inahamisha 10Gbps ,usb 3.2 inahamisha 20gbps na usb 4 ni 40gb (5GBps). Assume hata una usb 3.1 ina maana utahamisha movie nzima ya 720p kwa Chini ya sekunde 1.

Wifi ya kisasa kabisa yaani wifi 6E kwa simu inagonga 3.6Gbps.
 
Haiwezekani app yoyote ya wifi kuwa na speed kushinda USB, unless unatumia tech za miaka 20 iliopita.

Usb 3.0 ni 5gbps, usb 3. 1 ni inahamisha 10Gbps ,usb 3.2 inahamisha 20gbps na usb 4 ni 40gb (5GBps). Assume hata una usb 3.1 ina maana utahamisha movie nzima ya 720p kwa Chini ya sekunde 1.

Wifi ya kisasa kabisa yaani wifi 6E kwa simu inagonga 3.6Gbps.
Mkuu samahani kwa kuchomekea mada,
mimi natumia google photos lakini sioni back up ya picha zangu.. nifanyeje?
 
Mkuu samahani kwa kuchomekea mada,
mimi natumia google photos lakini sioni back up ya picha zangu.. nifanyeje?
Ingia setting ya google photo set picha gani zifanyiwe backup.

1. Fungua photo.
2. Juu kulia click icon yako
3. Nenda setting
4. Backup and sync
5. Toggle on backup ya picha
6. Kama kuna picha zaidi shuka chini kwenye folder chagua folder husika.
 
Haiwezekani app yoyote ya wifi kuwa na speed kushinda USB, unless unatumia tech za miaka 20 iliopita.

Usb 3.0 ni 5gbps, usb 3. 1 ni inahamisha 10Gbps ,usb 3.2 inahamisha 20gbps na usb 4 ni 40gb (5GBps). Assume hata una usb 3.1 ina maana utahamisha movie nzima ya 720p kwa Chini ya sekunde 1.

Wifi ya kisasa kabisa yaani wifi 6E kwa simu inagonga 3.6Gbps.
hizo ni mbwembwe tu boss za details..
kiukwel xender iko fasta kuliko hizo usb, kama ingkuwa ivo watu wa library wasingkuwa wanaangaika na app kama super copy N.K
 
hizo ni mbwembwe tu boss za details..
kiukwel xender iko fasta kuliko hizo usb, kama ingkuwa ivo watu wa library wasingkuwa wanaangaika na app kama super copy N.K
Kama ni mbwembwe thibitisha. Na hizo super copy ni software hazitakusaidia kama una hardware ya enzi za mwalimu.

Tafuta desktop ya kisasa yenye usb 3 (zinakuwa na rangi ya blue most of time) , uwe na ssd then hamisha hilo file lako kwenye Simu preferably yenye ufs, hutaona hata ile msg ya kutuma ni instant file linafika kwenye simu. Kama ni movie hata sekunde 3 haifiki.
 
Ingia setting ya google photo set picha gani zifanyiwe backup.

1. Fungua photo.
2. Juu kulia click icon yako
3. Nenda setting
4. Backup and sync
5. Toggle on backup ya picha
6. Kama kuna picha zaidi shuka chini kwenye folder chagua folder husika.
Kaka asante sana nimekuelewa.
naomba msaada.pia hapa

hii notification ya radio imegoma kutoka kwenye screen ya simu.

mwezi sasa nahangaika nayo
Screenshot_20220414-081145.png
 
Kama ni mbwembwe thibitisha. Na hizo super copy ni software hazitakusaidia kama una hardware ya enzi za mwalimu.

Tafuta desktop ya kisasa yenye usb 3 (zinakuwa na rangi ya blue most of time) , uwe na ssd then hamisha hilo file lako kwenye Simu preferably yenye ufs, hutaona hata ile msg ya kutuma ni instant file linafika kwenye simu. Kama ni movie hata sekunde 3 haifiki.
Na hizi usb zenye rangi ya orange ni usb version ngapi?
 
Najua watu wengi mnatumia app ya Xender kuweza kurusha vitu mbalimbali ila Sio Salama kwako ? [emoji848]

App ya Xender ni moja wapo ya app ambayo inatumiwa Sana ulimwenguni kwani husaidia kuweza kuhamisha vitu kama vile picha ,video , audio, documents ma file makubwa Kwa madogo kutoka simu moja kwenda nyingine.

Ila app ya Xender sio Salama kwako !!! Ni moja app ambayo inaongoza kueneza virusi pia kuchukua taarifa za ki binafsi za mteja bila kujua na kuziuza.

Achana na XENDER [emoji3]..!!

Tumia "files by google" ni app nzuri Sana ya kuweza kuhamisha kitu chochote kutoka Kwenye simu moja Kwenda nyingine bila shida yoyote ile.

• utaweza kushare kitu chochote offline Utumi mb
• unaweza kuongeza nafasi ya simu Yako
• unaweza Fanya backup za taarifa zako Kwenye cloud mbalimbali Ili ikitokea umepoteza au kuibiwa simu utaipata.

Nilichokipenda zaidi unaweza kurudisha kitu ulicho kidelete kuanzia Kwenye memory card au internal storage picha, video , apps , documents nk.

File lolote unalotuma liko Salama pia data zako ziko Salama huwezi kuathilika pia ikitokea unataka kuinstall app ambayo Ina virus itakujulisha

Jinsi ya kutumia ni rahisi fungua iyo app ya files by google >>utaona neno share utaweza kushare kitu chako chochote kile.

Achana na [emoji3]Xender Tumia Files by Google

Ebu tuachie maoni Yako unatumia app gani kurusha picha , video , documents , apps kutoka Kwenye simu kwenda nyingine ?View attachment 2184887
Hadi nimecheka😁
 
Back
Top Bottom