kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,005
Baada ya kumfuatilia kwa muda mfupi aliokaa kama CEO wa Simba,nimegundua kuwa huyu Dada ukiachiabali u genius wake,ni mtu mwenye connection sana.
Leo katika mkutano wa CAF nimeona ni mtu anayefahamiana vizuri na Rais mpya wa shirikisho hilo.Ninaona Simba inashambulia kutoka kila idara.Kuanzia kwa mashabiki,wachezaji hadi CEO.
Kwa sasa namuona Senzo kama "Sarpong" tu. Hongera madame CEO.Simba to next level
Simba nguvu moja
Leo katika mkutano wa CAF nimeona ni mtu anayefahamiana vizuri na Rais mpya wa shirikisho hilo.Ninaona Simba inashambulia kutoka kila idara.Kuanzia kwa mashabiki,wachezaji hadi CEO.
Kwa sasa namuona Senzo kama "Sarpong" tu. Hongera madame CEO.Simba to next level
Simba nguvu moja