Acha wafu wazikane wao kwa wao

Acha wafu wazikane wao kwa wao

Naimani na magufuli, tutafika pazuri kama tutashirikiana naye katika kazi kwa maarifa.baada ya marehemu nyerere maraisi watatu waliofuata walituzorotesha (hawakuwa na vission,sasa tunaye mtu mwenyemisimamo sio mvaa cheni shingoni ama mswahili wavijembe bila kazi yamana.
Mkuu huwez kua serious mkuu
Let me ask u kama ana uweO wa kufanya vitu anavyotakiwa kufanya waziri wake wa wizara husika je kwann waziri asijiudhuru au wakat anafanya hayo waziri wake anafanya nn?sema amemis media kama kawaida yake basi tutaelewa we dont need drama
 
Hili linagusa kumoyo kwelikweli! Ni wachache watakaomwelewa mtoa mada kwani wengi wetu tutachangia kea mhemko wa kiitikadi yaani kiccm zaidi bila kulitanguliza taifa mbele au uzalendo. Ni wakati wa kufanya maamuzi mazito na kuweka vipaumbele vitakavyotupeleka mbele na sio hizi blabla za hapa kazi tu na kazi zenyewe ni hizi za fukuzafukuza. Viongozi tulionao hawana vision wala mission katika maendeleo zaidi wanawaza ushindi wa kishindo. Kuna umuhimu wa kuwa na midahalo ya wazi kwa wagombea ili watuambie wanachotaka kulifanyia taifa na wakishindwa watumbuliwe majipu.
Hv kwann asianze na kurudisha nyumba za serikali kwanza?
 
Back
Top Bottom