ACHA VISINGIZIO-Anza ulipo, na ulicho nacho ila Ujiandae-Fanikiwa katika Biashara na Ujasiriamali

Masokotz

JF-Expert Member
Nov 26, 2018
3,495
5,529
Habari za wakati;

Watu wengi sana wana ndoto za kuwa wafanyabiashra na wajasiriamali.Leo nataka nisisitize jambo moja la muhimu sana ambalo kila mjasiriamlai tarajali anapaswa kulifahamu na kulielewa.ACHA VISINGIZIO.

Watu wengi sana huwa hujikuta wakishindwa kufanikiwa katika biasahara na ujasiriamali kwa kukosa ujasiri na kuwa na visingizio.Ndio visingizio,
Kuna wanaosema hawana mitaji,hamna wateja,hawana ujuzi,hawana uzoefu.n.k.ni msururu wa visingizio ili tu wajisiki vizuri.Leo nataka tujadili kuhusu visingizio na namna ambavyo vinaathiri mafanikio yako.

Kisingizio kinaweza kuwa "genuine"au imaginary.Vyovyote vile kisingizio huwa kina mfanya mtu apate sababa ya kuokufanya au kokosea.inampa mtu faraja na kumtia moyo anaposhindwa kutimiza malengo yake.

Tabia ya kupenda visingizio ikiota mzizi huondoa uwajibikaji a hivyo unajikuta unapoteza umakini katika mambo unayofanya.Hili ni tatizo.

Je wewe ni mjasiriamali?Je umekwama katika mtego wa visingizio?Unataka kubadilika?Tujadili hapa namna ambavy unaweza kubadili na kuishinda tabia ya visingizo.

Karibuni

Iwpo unahitaji ushauri kuhusu biashara,ujasiriamali,uwekezaji,elimu na self management tafadhali wasiliana nasi kwa njia ya email.masokotz@yahoo.com
na wataalamu wetu wtakupa mwngozo wa namna bora ya kuishi maisha yako katika kiwango kingine


Karibu
 
Habari za wakati;
Watu wengi sana wana ndoto za kuwa wafanyabiashra na wajasiriamali.Leo nataka nisisitize jambo moja la muhimu sana ambalo kila mjasiriamlai tarajali anapaswa kulifahamu na kulielewa.ACHA VISINGIZIO

Watu wengi sana huwa hujikuta wakishindwa kufanikiwa katika biasahara na ujasiriamali kwa kukosa ujasiri na kuwa na visingizio.Ndio visingizio,
Kuna wanaosema hawana mitaji,hamna wateja,hawana ujuzi,hawana uzoefu.n.k.ni msururu wa visingizio ili tu wajisiki vizuri.Leo nataka tujadili kuhusu visingizio na namna ambavyo vinaathiri mafanikio yako.

Kisingizio kinaweza kuwa "genuine"au imaginary.Vyovyote vile kisingizio huwa kina mfanya mtu apate sababa ya kuokufanya au kokosea.inampa mtu faraja na kumtia moyo anaposhindwa kutimiza malengo yake.

Tabia ya kupenda visingizio ikiota mzizi huondoa uwajibikaji a hivyo unajikuta unapoteza umakini katika mambo unayofanya.Hili ni tatizo.

Je wewe ni mjasiriamali?Je umekwama katika mtego wa visingizio?Unataka kubadilika?Tujadili hapa namna ambavy unaweza kubadili na kuishinda tabia ya visingizo.

Karibuni

Iwpo unahitaji ushauri kuhusu biashara,ujasiriamali,uwekezaji,elimu na self management tafadhali wasiliana nasi kwa njia ya email.masokotz@yahoo.com
na wataalamu wetu wtakupa mwngozo wa namna bora ya kuishi maisha yako katika kiwango kingine


Karibu
Baada ya graduate umeona utoke na Motivation? Hizi hazilipi Bongo tafuta kazi nyingine mkuu ufanye,
 
Habari za wakati;
Watu wengi sana wana ndoto za kuwa wafanyabiashra na wajasiriamali.Leo nataka nisisitize jambo moja la muhimu sana ambalo kila mjasiriamlai tarajali anapaswa kulifahamu na kulielewa.ACHA VISINGIZIO

Watu wengi sana huwa hujikuta wakishindwa kufanikiwa katika biasahara na ujasiriamali kwa kukosa ujasiri na kuwa na visingizio.Ndio visingizio,
Kuna wanaosema hawana mitaji,hamna wateja,hawana ujuzi,hawana uzoefu.n.k.ni msururu wa visingizio ili tu wajisiki vizuri.Leo nataka tujadili kuhusu visingizio na namna ambavyo vinaathiri mafanikio yako.

Kisingizio kinaweza kuwa "genuine"au imaginary.Vyovyote vile kisingizio huwa kina mfanya mtu apate sababa ya kuokufanya au kokosea.inampa mtu faraja na kumtia moyo anaposhindwa kutimiza malengo yake.

Tabia ya kupenda visingizio ikiota mzizi huondoa uwajibikaji a hivyo unajikuta unapoteza umakini katika mambo unayofanya.Hili ni tatizo.

Je wewe ni mjasiriamali?Je umekwama katika mtego wa visingizio?Unataka kubadilika?Tujadili hapa namna ambavy unaweza kubadili na kuishinda tabia ya visingizo.

Karibuni

Iwpo unahitaji ushauri kuhusu biashara,ujasiriamali,uwekezaji,elimu na self management tafadhali wasiliana nasi kwa njia ya email.masokotz@yahoo.com
na wataalamu wetu wtakupa mwngozo wa namna bora ya kuishi maisha yako katika kiwango kingine


Karibu
Unacho ongea nikweli mkuu katika utafutaji wa mafanikio visingizio hukwamisha sana uamsho wa ubongo wa mtu kugundua nini kipo mbele yake badala yake anakuwa mkosoaji wa kila jambo ambalo huenda akilichukua na kulitendea kazi litambadilisha,mimi binafsi nilikuwa mtu wa hivyo na sikuweza kuamini kuhusu maarifa yaliyopo vitabuni kwa habari ya biashara ama ujasiriamali.

Nilikutana na changamoto kubwa sana ya kimaisha iliyo nifanya nipoteze vitu vingi sana na niliamka toka huko kwa kuanza kuji ajiri japo ili nipa tabu mwanzoni kuhusu njia gani ntaitumia kufanikiwa huku nikitawaliwa na mzigo wa hofu moyoni kuwa ntawezaje?

Taratibu niliamua kujitia moyo mwenyewe kuwa ntaweza japo wapo nilio washirikisha wazo langu la biashara wakasema hilo jambo peke yako huwezi njoo tushirkiane kumbe walitaka wajinufaishe kupitia wazo langu na pia ili fika wakati nataka kufungua kampuni kwa ajiri ya kupata tenda serikalini napo nika ambiwa kufungua kampuni ni gharama sana na kodi ni kubwa mno TRA kwa makampuni kwakweli nili baki na ujasiri wangu.

Kwa kifupi mpaka leo nna kampuni yangu na yote yame wezekana baada ya kuacha visingizio na kusimama kwa mawazo na utashi wangu binafsi bila kusikiliza watu wana sema nini.

Kila jambo linawezekana huja amua na nyie mlio na elimu za juu mnaweza kufanya makubwa sana mimi nili ishia kidato cha nne lakini nna watu wa University nilio waajiri kwenye kampuni yangu,Why not you?

Never give up on what you want in life every tough moment will path and everything will come good but if you keep going if you stop it will not come.
Have faith and believe that everything will come good.

speak abundant to your life that You deserve abundant and be ready for that.
Nothing will happen if you haven't start your motion and place your direction.
 
Yaan tuna Mitihani kweli kweli.

Wenye muda hawana Mtaji.

Wenye Mtaji hawana muda.

Wenye mtaji na muda hawana ujasiri.

Wenye ujasiri na mtaji hawana wazo zuri la biashara.

Wenye wazo zuri la biashara hawana Mtaji.

Yaan shida tupu.

Ila tuendelee kupambana maana kwenye nia pana njia.
Ipo siku vitu vyote hivyo vitapatikana na biashara itaanza na kuendelea.
 
Unacho ongea nikweli mkuu katika utafutaji wa mafanikio visingizio hukwamisha sana uamsho wa ubongo wa mtu kugundua nini kipo mbele yake badala yake anakuwa mkosoaji wa kila jambo ambalo huenda akilichukua na kulitendea kazi litambadilisha,mimi binafsi nilikuwa mtu wa hivyo na sikuweza kuamini kuhusu maarifa yaliyopo vitabuni kwa habari ya biashara ama ujasiriamali.

Nilikutana na changamoto kubwa sana ya kimaisha iliyo nifanya nipoteze vitu vingi sana na niliamka toka huko kwa kuanza kuji ajiri japo ili nipa tabu mwanzoni kuhusu njia gani ntaitumia kufanikiwa huku nikitawaliwa na mzigo wa hofu moyoni kuwa ntawezaje?

Taratibu niliamua kujitia moyo mwenyewe kuwa ntaweza japo wapo nilio washirikisha wazo langu la biashara wakasema hilo jambo peke yako huwezi njoo tushirkiane kumbe walitaka wajinufaishe kupitia wazo langu na pia ili fika wakati nataka kufungua kampuni kwa ajiri ya kupata tenda serikalini napo nika ambiwa kufungua kampuni ni gharama sana na kodi ni kubwa mno TRA kwa makampuni kwakweli nili baki na ujasiri wangu.

Kwa kifupi mpaka leo nna kampuni yangu na yote yame wezekana baada ya kuacha visingizio na kusimama kwa mawazo na utashi wangu binafsi bila kusikiliza watu wana sema nini.

Kila jambo linawezekana huja amua na nyie mlio na elimu za juu mnaweza kufanya makubwa sana mimi nili ishia kidato cha nne lakini nna watu wa University nilio waajiri kwenye kampuni yangu,Why not you?

Never give up on what you want in life every tough moment will path and everything will come good but if you keep going if you stop it will not come.
Have faith and believe that everything will come good.

speak abundant to your life that You deserve abundant and be ready for that.
Nothing will happen if you haven't start your motion and place your direction.
Hongera sana

Sent from my TECNO KD6a using JamiiForums mobile app
 
Yaan tuna Mitihani kweli kweli.

Wenye muda hawana Mtaji.

Wenye Mtaji hawana muda.

Wenye mtaji na muda hawana ujasiri.

Wenye ujasiri na mtaji hawana wazo zuri la biashara.

Wenye wazo zuri la biashara hawana Mtaji.

Yaan shida tupu.

Ila tuendelee kupambana maana kwenye nia pana njia.
Ipo siku vitu vyote hivyo vitapatikana na biashara itaanza na kuendelea.
Point nzuri lakini vyovyote vile muda unatosha kukupa mafanikio. Pambana tu utanielewa nasema nini, kwanza hao wenye wazo na mitaji hawana muda ni mapumbavu na malofa.
 
Back
Top Bottom