Acha tufe,ugonjwa umekaa pabaya

Acha tufe,ugonjwa umekaa pabaya

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,138
Huu ni ujumbe uliokutwa kwenye karatasi aliyokutwa nayo marehemu. Ni kijana mmoja wa jijini Dar es Salaam aliyekutwa amejinyonga kwa kutumia mkanda wa begi jana. Ni ujumbe huo tu ndio uliokutwa kwa marehemu. Tusaidiane waungwana,marehemu alimaanisha nini hapa? Kuna sababu nzito za kutoa kauli hii? Hakuna jinsi?

Chanzo: Jambo Leo la 3/7/2014
 
mkuu maisha yenyewe mafupi ukifa na ukimwi umekufa kishujaa watu wanakufa na maralia ajali ila ukifa na ukimwi unakufa kishujaa
 
Itakua alipima akajikuta +ve(ukimwi).Hakua amejiandaa na ayo majibu.
 
mkuu maisha yenyewe mafupi ukifa na ukimwi umekufa kishujaa watu wanakufa na maralia ajali ila ukifa na ukimwi unakufa kishujaa

kifo ni kifo tu hakuna kishujaa wala kihuni.
 
hatar kujinyoga naogopa mim jaman
 
  • Thanks
Reactions: Paw
mkuu maisha yenyewe mafupi ukifa na ukimwi umekufa kishujaa watu wanakufa na maralia ajali ila ukifa na ukimwi unakufa kishujaa

kufa lazma hata usipogegeda utakufa tu.
Kwahyo tusiogope kitu kula matunda ya nchi mpaka tuvimbiwee
 
Labda alikuwa na mahusiano na mtu then akasikia au akagundua kama ni muathirika

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kuna mahali 'walipiga' mambo yakaharibika. Sterling kasurrender.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom