Accountant anahitajika

Accountant anahitajika

Keagan Paul

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2018
Posts
517
Reaction score
3,191
Ni Kampuni ya Wachina ipo Mikocheni Dar, wanahitaji Accountant wa Kike. Awe na Degree na awe amemaliza chuo Mwaka Jana. Kama uko interested na una sifa hizo hapo juu naomba nitumie CV yako kwenye Email hrfbde@gmail.com. Kuwa tayari wiki ijayo kwa Usahili. Ahsante sana.
 
Ni Kampuni ya Wachina ipo Mikocheni Dar, wanahitaji Accountant wa Kike. Awe na Degree na awe amemaliza chuo Mwaka Jana. Kama uko interested na una sifa hizo hapo juu naomba nitumie CV yako kwenye Email hrfbde@gmail.com. Kuwa tayari wiki ijayo kwa Usahili. Ahsante sana.

Dah ngji nmalize chuo kwanza nmeikosa hiyo japo natamani kuanza ata kufanya kazi kupata experience mana ukimalza chuo unahitajika experience 3 yrs mtihanii
 
Kwa wachina ataambulia patupu Mwaka juzi niliwaonya sana waliponipa makaratasi fulani kuwaombea jambo fulani sehemu! Kwenye ishu hiyo ilibidi ni crosschek na waajiriwa aiseeee hatari
 
Kwa wachina ataambulia patupu Mwaka juzi niliwaonya sana waliponipa makaratasi fulani kuwaombea jambo fulani sehemu! Kwenye ishu hiyo ilibidi ni crosschek na waajiriwa aiseeee hatari

Duh ila wakijifikiria kunipa ntafanya
 
Ni Kampuni ya Wachina ipo Mikocheni Dar, wanahitaji Accountant wa Kike. Awe na Degree na awe amemaliza chuo Mwaka Jana. Kama uko interested na una sifa hizo hapo juu naomba nitumie CV yako kwenye Email hrfbde@gmail.com. Kuwa tayari wiki ijayo kwa Usahili. Ahsante sana.

Tayar umepata au nitume namm
 
Haifunguki

Screenshot_20210911-141413_Phoenix.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom