salimkabora
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 2,441
- 653
Awe na Advanced Diploma au zaidi na awe computer literate; awe na uwezo wa kutumia accounting packages kama Tally, Myob, nk. kwa ajili ya duka la jumla na rejareja hapa Dar. Mshahara ni makubaliano ila sio chini ya viwango vya serikali kwa kada husika- ubunifu katika matumizi ya computer ni sifa ya ziada kwa malipo ya juu. Kwa anayehitaji njoo PM au 0754 84 33 88 siku za kazi