Account ya Millard Ayo Twitter yafutwa

Account ya Millard Ayo Twitter yafutwa

Hii ina maana gani mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye hizi tovuti kama twitter au hata JF ambapo watumiaji ndiyo wachapisha habari (user generated content sites), mara nyingi watu hujiwekea vitu kama picha na video ambazo zinaweza kuwa na hatimiliki. Sasa kama mmiliki akilalamika kwa wenye tovuti, wao kuogopa kushtakiwa huwa wanafunga akaunti. Kwahiyo inaweza kuwa ni sababu mojawapo au la.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kwenye hizi tovuti kama twitter au hata JF ambapo watumiaji ndiyo wachapisha habari (user generated content sites), mara nyingi watu hujiwekea vitu kama picha na video ambazo zinaweza kuwa na hatimiliki. Sasa kama mmiliki akilalamika kwa wenye tovuti, wao kuogopa kushtakiwa huwa wanafunga akaunti. Kwahiyo inaweza kuwa ni sababu mojawapo au la.
Asante kamanda, nadhani hii yaweza kuwa sababu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Polepole alisema kabla na alimuambia milard kamaataendelea watamblock


Swissme
Kwani Millard aliwafanya nini mkuu?

In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
 
unafungia account wakati watu mawazo yameishabadilika , hayo yanayopatikana kwa account ni dalili tu. wazifungulie tu maaan wataanzisha nyingine
 
Back
Top Bottom