Account and finance Vs Account

BAF mi nilisoma.

Accounting
1.Accounting 1
2.Accounting 2
3. Accounting 3
4.Accounting 4
5. Management accounting
6. Cooperative Accounting

Finance
1.Financial management
2.cooperate finance
3. Public Finance
4. Tax
5 .Audit
6. Cooperative Audit
7. International finance
8.
 
kua maneja? naomba unifafanulie vizur bro
 
bro umesoma chuo gan?
 
Mimi nilisoma Economics.. ila i sense kwamba ukisoma Account utakuwa unamzidi sana mtu aliyesoma Finance. So achana na Finance, soma B.Com Account
Hukuna kitu kinachoitwa B. Com Account
itendee haki mkuu
 
kaka kwa ushauri wangu fanya finance. Ina advantage sana kama utaamua kuchukua CPA baadae utakuwa unaonekana umesoma vitu tofauti tofauti zaidi ya yule wa accounts. Na pia usitishike kwamba utakuwa nyuma sana wakati wa kuchukua CPA mtatofautiana masomo mawili tu na mtu wa accounts. Pia finance inakupa wigo wa kufanya kazi za kifedha na ki uhasibu pia.
 
Aliyesoma Finance huanzia Foundation Stage ya NBAA. Usimpotoshe dogo Letu. Accounting huanzia Intermediate Stage

Ethos- the Job hunter
 
Mbona almost course zinafanana na zile nilizosoma udsm bcom accounting...sema Huku ndani Huku kuna kusoma marketing,HR,na hata finance tunaisoma kila mwka japo kuwa tupo bcom accounting..na hata hyo international finance tumepiga
 
Aliyekwambia mtu aliyesoma finance Ana advantage kubwa kwenye CPA zaidi ya Yule wana accounting ni nani? Afu muomba ushauri hajasema finance kasema bcom finance and accounting verses accounting nyie mnaleta mambo ya finance tu hapa
 
Mimi binafsi najua almost hazina tofauti sana...ila binafsi nimesoma udsm bcom accounting na tunasoma vitu vingi sana vikiwemo auditing,taxation, marketing tofauti tofauti, hr, na Masomo ya computer humohumo yaan ni pana so hata ukiisoma si mbaya japo hata hyo bcom accounting and finance iko vzuri ila ungeisoma mzumbe..japo kwa masomo yao sioni kama kuna utofauti kivilee...wee jaza hzo mbili mwanzoni utakapochaguliwa then kherii ila kwa hvyo vyuo
 
sure hayo ni majina tu,mimi nimesoma ifm ilikua inaitwa ADA (advance diploma in accountancy) ni sawa tu na Accounting & finance ya mzumbe ,similar na b com accounting ya UDSM,vyote hivyo ukisoma unakua accountant ila paka upite nbaa,wakucertify...welcome to the world
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…