According to biocentrism, death is an illusion: Kwa anayeifahamu nadharia ya biocentrism anielezee kwa manufaaa ya wengine pia

Katika pita pita zangu za hapa na pale katika kujifunza mambo mapya hasa kuhusu kifo nimekutana na mtazamo huu kuwa kifo ni mauzauza tu ya akili yetu, kifo hakipo. Na watu wanaoshikilia msimamo huu wanatumia nadharia ya 'biocentrism' kuthibitisha maoni hayo. Nimesoma sana na kuangalia video nyingi kuhusu hiyo ishu lakini naona sielewi elewi bado. Kwa yeyote anayeifahamu vizuri hebu atuelezee hapa.

Natanguliza shukrani.

zitto junior Life coded Da'Vinci Eiyer
Hata hayo uliyoandika ni mauza uza mkuu.Ndugu yako anaugua,unamuona kabisa akitoa roho,unakwenda kumzika,halafu unasema kifo ni illusion.Funny,isn't it.Hapana,come back to normality,hizo ni theories za kipepo na mafundisho ya mashetani.Kifo ni real.

Katika Kitabu cha Mwanzo 6:3,Mungu mwenyewe anasema,
"BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini."

Maandiko mengine katika Biblia yanayo prove kwamba kifo ni real ni haya:-

1.Waebrania 9:27
Basi, kama vile kila mtu hufa mara moja tu, kisha husimama mbele ya hukumu ya Mungu, vivyo hivyo Kristo naye alijitoa tambiko mara moja tu kwa ajili ya kuziondoa dhambi za wengi.

2.1Wakorintho 15:16,21,22,26.
16 Maana kama wafu hawafufuliwi, Kristo naye hakufufuka.

21 Maana kwa kuwa mauti ililetwa na mtu, kadhalika na kiyama ya wafu ililetwa na mtu.

22 Kwa kuwa kama katika Adamu wote wanakufa, kadhalika na katika Kristo wote watahuishwa.

26 Adui wa mwisho atakayebatilishwa ni mauti.

Mwisho,Mithali 16:25 inasema,"iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu,lakini mwisho wake ni njia za mauti."
 
Dreams are the role of mind. Dreams is the reflection of day councious of human being. Unapoota Ni kazi ya akili kuakisi ulichokuwa umewaza kama kina uhalisia au la.

Kwahiyo kuota ni kukumbuka but ya unachokijua. Huwezi kuota km hujui chochote ndo Mana anayeota anaweza akasimulia yote aliyoota Kwasababu ana prio information ya kilichofnyka.
Kwahiyo concious inaanza thend dream

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom