Wadau wana jamvi wenzangu , mbali na kupigiwa simu kuhusu interview kuwa 1st April Mwanza Secondary wamenitumia sms kuwa interview itakuwa kati ya 5-7days.
Pili wamesisitiza kuwa hawatahusika na cost zozote msiliwa atakazo incurred kipindichote hicho cha usail. Sina ndugu wala rafiki anaeishi mwaza. Back to the topic naomba kujuza nauli kutoka Dar-Mwanza ni shilingi ngapi? nawanaoishi Mwanza au wenyeji wa huko garama ya chumba cha kawaida tuu sio hotel kubwakubwa gesti bubu tu kulala kwa usiku mmoja ni shilingi ngapi? Yaani hapa moja haikai mbili haisogei wala tatu haijigusi kabisa. Sina kazi hela sina interview naitaka basi mambo fululuvululu tu.
Naomba kujuzwa kuhusu gharama tajwa hapo juu iliniwezefanya magazijuto nijue naitajika niwe na kiasi gani cha fedha kitakacho cover Accomodation during my interview. Natanguliza shukrani.
Pili wamesisitiza kuwa hawatahusika na cost zozote msiliwa atakazo incurred kipindichote hicho cha usail. Sina ndugu wala rafiki anaeishi mwaza. Back to the topic naomba kujuza nauli kutoka Dar-Mwanza ni shilingi ngapi? nawanaoishi Mwanza au wenyeji wa huko garama ya chumba cha kawaida tuu sio hotel kubwakubwa gesti bubu tu kulala kwa usiku mmoja ni shilingi ngapi? Yaani hapa moja haikai mbili haisogei wala tatu haijigusi kabisa. Sina kazi hela sina interview naitaka basi mambo fululuvululu tu.
Naomba kujuzwa kuhusu gharama tajwa hapo juu iliniwezefanya magazijuto nijue naitajika niwe na kiasi gani cha fedha kitakacho cover Accomodation during my interview. Natanguliza shukrani.