ACACIA's CEO, Brad Gordon: Tanzania nayo itaumia isiposuluhisha mgogoro wa madini wiki inayokuja

Hii ndiyo maana halisi ya "kimya kimya" unabinya makende ya mwizi kimya kimya hadi mwizi mwenyewe apige kelele ya kuomba msaada! “We’ve gone from a level of around US$320 million [cash] on our balance sheet to … $165 million,” Gordon said.
Go go go Magu!
Acha kabisa, hawa jamaa walitupata sana nyuma, na wanajuwa 95% ya watanzania hawana imani nawo, kwahiyo kelele zao wanazipiga nje ya nchi, through financial times na economist ambao hawajuwi wizi waliokuwa wanaufanya hapa, kwanza kumbe ndio zao, za kina ndama, papa msofe ndio hawa, na bado...
 
Kwamba tunaibiwa au hatuibiwi sitaki kusema sana, ila michango inayotolewa hapa napata ukakasi ni lugha iliyotumika haijaeleweka au watu wanaandika bila kusoma kilichoandikwa?

Kama hadi sasa hivi watuhumiwa hawajapewa ripot ya mara ya kwanza, kuna dalili ya tatizo sehem. Iweje walienda kwenye vyombo vya habari kama lengo ilikua kusubiri ripot zote mbili?

Kwanini hao wawekezaji hadi leo hii hawajapatiwa hiyo ripot? Lakini tayari yaliyotuhumiwa kwenye tipot yameshaanza kuwaathiri kwa namna moja ama nyingine.
 
Tujiandae kulipa fidia
Ikithibitika kuwa walikuwa wanaongopea juu ya kiasi cha madini yaliyomo kwenye mchanga ( copper concentrates ) nchi haitalipa fidia bali bali italipwa fedha za mapunjo.
ACACIA washirikiane na Serikali kuthibitisha viwango vilivyopo kwenye Containers kuliko kulalamika kuwa kilichosemwa siyo sahihi. Utafiti hupigwa kwa utafiti.
 
Simmewapa wenyewe ? Sasa wanaibaje


Mkuu liangalie hili swala kwa mapana yake...hata kama mimi na wewe tumekata tamaa na maisha..lets appreciate and think of our kids and their kids too! Hopefully wanaweza kuishi maisha mazuri kuliko haya tunayoishi sisi.

Unavyoandika you sound a bitter man......which I fully understand bro.

Ni kweli hawa viongozi wetu sometimes wanakatisha tamaa. But our Tanzania is bigger. Hata waliotuibia si unawaona wanahangaika ingawa wana mabilioni huko bank. Imagine mtu kama Kitilya..na hela zake zote where is he?

No matter what our country is beautiful and it will endure forever. Mengine yanapita. Tanzania ipo.
 
1. Hawaibi, tumewapa wenyewe kwa makubaliano, hawaibi.

2. Je wewe unadhani wapi tunaibiwa, kwenye mchanga au kwenye dhahabu inayosafishwa mgodini na kisha kuchukuliwa na ndege kwenda ulaya? Yani dhahabu nyingi tunaibiwa wapi, kwenye mchanga au ile pure inayozalishwa moja kwa moja mgodini?

3. Kama acacia wanatuibia kwenye mchanga, je Geita gold mine na North Mara ambao hawasafirishi mchanga hawatuibii?

Yani wizi tuuone kwenye mchanga alafu huko kwingine hatuibiwi?

Alieturoga katuweza.
So you mean waendelee kuchukua tusiwaulize hata kama tunajuaa there is something wrong? Tunajua tunaibiwa kote kote na kuikabiri hii issue lazima uwe na pa kuanzia jpm kaona aanze na mchanga
 
Hawa jamaa walifikiria JPM is joking. Report ilitoka wakakimbilia kwenye media zao huko Ulaya kumpiga Mkwara Ngosha. Hawakujua kwamba everything Ngosha is doing is well calculated in advance. Wajiandae kwa dialogue. Huu upuuzi wa kuiba raslimali za waafika kwa kuongea kiingereza kingi na kututisha kuhusu misaada should come to an end. Huo mchanga tuliambiwa ni %ndogo sana ya mapato yao. Leo baada ya kuminywa tunaambiwa mchanga ndo ulikuwa tegemeo la mapato. Na bado mtasema yote tuu.

Ngosha amejitoa sadaka kwa waTanzania (in his voice..)
Ujinga na mpumbavu wa ngosha utatughalimu.

Samaki wa magu somo halikupanda
 
Hawa jamaa walifikiria JPM is joking. Report ilitoka wakakimbilia kwenye media zao huko Ulaya kumpiga Mkwara Ngosha. Hawakujua kwamba everything Ngosha is doing is well calculated in advance. Wajiandae kwa dialogue. Huu upuuzi wa kuiba raslimali za waafika kwa kuongea kiingereza kingi na kututisha kuhusu misaada should come to an end. Huo mchanga tuliambiwa ni %ndogo sana ya mapato yao. Leo baada ya kuminywa tunaambiwa mchanga ndo ulikuwa tegemeo la mapato. Na bado mtasema yote tuu.

Ngosha amejitoa sadaka kwa waTanzania (in his voice..)
Wameiba au walisaini mikataba mkaridhia??
 
So you mean waendelee kuchukua tusiwaulize hata kama tunajuaa there is something wrong? Tunajua tunaibiwa kote kote na kuikabiri hii issue lazima uwe na pa kuanzia jpm kaona aanze na mchanga
Resolute walichimba dhahabu Nzega, walikua hawasafirishi mchanga, wakamaliza dhahabu yote Nzega na wakaondoka, je walituibia au hawakutuibia?

Acacia wanachimba Nyamongo, North Mara Gold Mine, hawasafirishi mchanga maana 100% ya dhahabu inachenjuliwa mgodini, je wanatuibia au hatuibiwi Nyamongo?

Acacia walichimba Tulawaka, wakakomba dhahabu yote wakaondoka na kuacha mashimo, je walituibia au hawakutuibia?

Geita Gold Mine ambao ndio mgodi mkubwa kuliko yote Tanzania hawasafirishi mchanga, je wanatuibia au hawatuibii?

Acacia wanachimba Bulyanhuru na Buzwagi, 70% ya dhahabu yao wanaichenjulia mgodini, 30% ndio iko kwenye mchanga.

Kwa nini tukomae na 30% ya Bulyanhuru na Buzwagi, huku tukiacha 70% yao, 100% ya Nyamongo, Geita na kwingine?

Hii ni sawa na kuku, watu mnagombania miguu na utumbo wa kuku huku wengine wakila minofu.

Okay, lets assume Acacia wana underdeclare gold/copper concentrates kwenye mchanga, je wakitulipa hiyo sehemu ambayo hawakuideclare ndio watakua hawakutuibia kisa tu tumerecover sehemu ya undeclared gold/copper?
 
Back
Top Bottom