VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,107
- 17,213
Mabao mawili ya kujifunga pamoja na yale ya Nocerino pamoja na mfungaji wa kileleni Serie A,Stephan El Shaarawy,yalitosha kuipa ushindi wa 4-1 dhidi ya Pescara katika Serie A. Kazi inaendelea!