Yesu alitoa mfano wa watumwa wasiowaaminifu kwa bwana zao, hutendwa hivyo. Ndivyo ilivyo hata leo kuna dini na imani ambazo mwuumini wake anapobadili msimamo huuliwa hadharani. Hapa TZ watu waliowahifikwa na amri ya kuuwa ila bahati yao nchi inatawaliwa kisecular ni pamoja na mwanazuoni -msomi ni Ustaadhi Omari, Samwel (zamani Sadru), Mch. Peter Abdalah Rashid na maustadhi kadhaa wengine wanasikia kila siku Morning Star Radio 105.3 ya waadventista wasabato na huko Somalia Mch. Alhajj Adamu Haji .tafsiri ya aya hujaleta bwana mkubwa na bwana yesu si ametoa amri
kwa kuanzia , waulize wahindi wmfano wekundu , waeborigins watakupa jibu na bila ya kusahau vita ya msalaba sijagusa na hii vita ya leo pamoja na utumwa
kwa miaka yote vita ni dhidi ya ukristo sio ukristo dhidi ya watu. Ukristo (uokovu), sio udini na udhehebu huo ndio umetumia muda mwingi kuufisha uokovu. Uokovu utadumu milele, maana neno la Jehova litabaki milele bali dunia na dini na madhehebu vitatupwa jehanamu ya moto wa milele. Yesu Masihi ni Njia, Kweli na Uzima.
Kutafuta kumwuuwa Yesu hakujajulikana leo, kulitabiria na vitabu vyote vya manabii wa Mungu wa Ibrahim, Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo. Madai ya mungu ye yote ambaye siye huyu aliyesema hata milele Jina lake ni Mungu wa Ibrahimu, wa Isaka, Mungu wa Yakobo hayawezikupokelewa na mtu yeyote aliyeokolewa na kuoshwa dhambi zake kwa damu ya Yesu, Yeye ni Mfalme wa Milele, Mfalme wa Amani. Haui, wanaouawa sio waliowake.