Absalom kibanda anavyoonekana kwa sasa

Absalom kibanda anavyoonekana kwa sasa

Pole mkuu! Suala lako halina tofauti na la Dr Ulimboka. Ila ukirudi usiwe kimya kama Dr. Ulimboka. Afadhari hata Mwakyembe tunajua kwanini kafunga mdomo (kapewa cheo - uwaziri) akaona inatosha kulipa machungu aliyoyapata. Kwa Dr. Ulimboka hatujajua ameahidiwa nini. Hakuna aliyekamatwa mpaka sasa kuhusiana na mateso kwako na kwa Ulimboka. Mimi naona tatizo ni kuwa mkamatwaji ndiyo mkamataji! Hiyo ni kesi ya nyani kwa ngedere!
 
Pole mkuu! Suala lako halina tofauti na la Dr Ulimboka. Ila ukirudi usiwe kimya kama Dr. Ulimboka. Afadhari hata Mwakyembe tunajua kwanini kafunga mdomo (kapewa cheo - uwaziri) akaona inatosha kulipa machungu aliyoyapata. Kwa Dr. Ulimboka hatujajua ameahidiwa nini. Hakuna aliyekamatwa mpaka sasa kuhusiana na mateso kwako na kwa Ulimboka. Mimi naona tatizo ni kuwa mkamatwaji ndiyo mkamataji! Hiyo ni kesi ya nyani kwa ngedere!

Aisee hii ni siri ya mtungi
 
Namkumbuka sana Mbunge wangu Chacha Wangwe, bila shaka naye angenusurika angetuambia mambo yaliyomkuta. RIP Chacha Wangwe.
 
Dah! Ama kweli hujafa hujaumbika. Jamaa kabadilika kweli. Sehemu za mashavu, taya na mdomo utadhani sio Absalom tunayemfahamu.
 
Ni ngumu sana kuamini kama Kibanda kateswa na magamba kwa sababu yeye alikuwa akiandikia magazeti ya magamba ambapo wamiliki ni kina RA, Bashe na wengineo na ninakumbuka huyu kibanda aliwahi akiwa tanzania daima kuandika makala za kuona tishio la Kinana kama katibu mkuu tishio kwa upinzani na wanacdm humu jamvini walitokwa povu sana kumlaumu kwa kutoa maoni yake hayo na wengi mkasema hafai kuwa mharr wa gazeti la t/daima na ndipo jama akatimkia New habari..Kama ingekuwa kateswa akiwa akiwa tanzania daima labda ningeshawishika japo kidogo kuamini njama za serikali dhidi ya upinzania..Chadema bana kutesa mtese nyie halafu muilaumu serikali, kwa tabia hizo za kuumiza wanahabari wasiowaungeni mkono ama kutofautiana kidogo na nyie.Pole sana Kibanda na wote waandishi mnaokosoa cdm mchukue taadhali sana.
 
akirudi atakuwa silent kama dr Ulimbhoka.
sijui wanafanywaje wakishafika pale airport..
mtashuhudia wenyewe.

Uko right 100% Lokissa. Nimeshajiuliza swali hilo mara nyingi bila majibu.

Nadhani hupewa kiapo . . . !
 
Last edited by a moderator:
Ni ngumu sana kuamini kama Kibanda kateswa na magamba kwa sababu yeye alikuwa akiandikia magazeti ya magamba ambapo wamiliki ni kina RA, Bashe na wengineo na ninakumbuka huyu kibanda aliwahi akiwa tanzania daima kuandika makala za kuona tishio la Kinana kama katibu mkuu tishio kwa upinzani na wanacdm humu jamvini walitokwa povu sana kumlaumu kwa kutoa maoni yake hayo na wengi mkasema hafai kuwa mharr wa gazeti la t/daima na ndipo jama akatimkia New habari..Kama ingekuwa kateswa akiwa akiwa tanzania daima labda ningeshawishika japo kidogo kuamini njama za serikali dhidi ya upinzania..Chadema bana kutesa mtese nyie halafu muilaumu serikali, kwa tabia hizo za kuumiza wanahabari wasiowaungeni mkono ama kutofautiana kidogo na nyie.Pole sana Kibanda na wote waandishi mnaokosoa cdm mchukue taadhali sana.

unatokwa povu la nini sasa na wewe, dua ya mtesaji yeyote yule ni kuona kwamba baada ya kufanya jambo lake hakuna ataemhisi yeye.

Jiulize maswali yafuatayo; Nini kilimsibu Kolimba? How about Dr Omari Ally Juma? Yuko wa Kombe? Kwa nini ulimboka alimtaja mtu wa ikulu lakini baada ya kurudi yuko kimya? Nani alimuua Mwang'osi? vijana wa TISS wanaposema ccm imepoteza viti vingine vya ubunge kwa kujitakia kwani tuliwaambia nini cha kufanya wanamaanisha nini?
 
Back
Top Bottom