Absalom kibanda anavyoonekana kwa sasa

Absalom kibanda anavyoonekana kwa sasa

Dingswayo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
4,019
Reaction score
2,930
Kibanda.jpg

Kwa hisani ya MICHUZI
 
Pole sana brother, naamini Mungu ana makusudi na wewe na ndio maana watesi wako walishindwa kufikia uhai wako, nakutakia afya njema na ujasiri mkubwa hasa unapoanza maisha mapya ya ulemavu wa jicho, najua sio kitu rahisi lakini utashinda jipe moyo na usisahau sala kila upatapo nafasi.
 
angalia nawewe usipelekwe Uganda kusoma kama Uli......
 
pole sana mkuu, ila na wewe ulizidi mno, kujiunga na wale jamaa( kina edo na bashe) means ulitangaza vita na kina membe, ritz1 na ikulu kwa ujumla, take care mwanafyale! ilibidi uwe neutral kaka!
 
Mpaka leo serikali imeshindwa kusema watesi wako ni akina nani ..labda ukija utwambie mwenyewe
 
Back
Top Bottom