Tupe dondoo kidogo
Mkuu
Ova
Duh aise poleWe acha tu pori ndo lilitusaidia baada ya maelekezo kutoka juu kwa sababu pale tulipo shushwa ni porini na kuna nyoka hatarishi si unajua tena mapori ya Tabora na koboko ni marafiki. Basi hiyo ndo ilikuwa ponapona yetu ila walikua washa tushusha wakatuambia kila mtu atafika sehemu anapo kwenda kwa juhudi zake kwa sababu tumekuwa vichwa vigumu mno hatufati sheria
Udart ni commuter, haiendi masafaAje akamate ma-UDART
Asante mkuuDuh aise pole
Ova
Halafu ukifa au kupata tatizo kwenye ajali bima ipi itakufidia?Kama unaishi ubena au bwawani na umepata dharura unaenda Dar huna namna. utakaa chini tu.
Tusiwe wepesi kuhukumu wakati mazingira ya nchi yetu sote tunatajua
Umasafiri ili upate bima?Halafu ukifa au kupata tatizo kwenye ajali bima ipi itakufidia?