yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,526
- 1,410
babu nooma sana yaani mambo meengi mara ooh nakula mihogo mara mchuchu ananitandika MAKONDE
Si uende kwenye jukwaa la siasa
babu nooma sana yaani mambo meengi mara ooh nakula mihogo mara mchuchu ananitandika MAKONDE
na wakulya je.......???
ulichoandika mleta mada ni uongoooo...kwanza tuache na maparachichi yetu
Hivi wadau naombeni kujuzwa kwenye ndege mtu unatakiwa kusafiri na mzigo usiozidi Kg ngapi......?
haha nikiwa mbeya huwa nasikia watu maparachichi wanayaita matakapela.... sasa sijui ni lugha gani hiyo
Hivi wadau naombeni kujuzwa kwenye ndege mtu unatakiwa kusafiri na mzigo usiozidi Kg ngapi......?
within Tz 20kgs, outside 40kgs...alafu fasjet pale pa check in wengine wajinga kweli, kuna binamu yangu aliuliza swali kuhusu kgs hvyo hivyo akaambiwa eti hutakiwi kubeba mzigo mzito cause ndege lazima i-balance, ha ha haaaaa..uwiiii...yani bado kidogo amuanzie kumshushia maswali, ni kwamba foleni ilikuwa ndefu, watu walikuwa wengi nyuma yake..khaaa..watu kufanya kazi airlines basi wanaona kama they know everything about planes, kha!
International......economy 23........business 35......first class 40.............nadhani.......
International......economy 23........business 35......first class 40.............nadhani.......
achana nao... watakua wametufananisha na wakinga hao!!!