Abdurazak Hamza aache uoga na aache kujivunja

Abdurazak Hamza aache uoga na aache kujivunja

Hii mechi alishajitathmini hakuwa anaiweza, spidi ni kubwa na mabeki wa kati wa Simba wote wazito.
Angeendelea kucheza uku amepoteza kujiamini angekua anazidisha makosa.
Ata Mechi inayo fuata asicheze kwakua tathmini ya ubongo wake imesha mwambia awa jamaa Wana Kasi na uwezo kuliko yeye.
Safi anapenda sana game nyepesi nyepesi
 
Yupo slow halafu game ilikua speed mno .....binafsi simlaumu kuliko angesubiri tufungwe 5 ndo atoke .....kubwa imefungwa as Team.....kosa pia halikuanzia kwake ....kutoka au kutookoa ni 50/50 kwa kosa ambalo limetokea mbele yako.....

Kwa level yake ,mpinzani anaecheza nae, exposure yake, Experience yake kwenye michuano hii, Timu alizocheza ....so far kwangu ameonyesha kitu .......plus Kagoma pia....
Ajitathmini sana kukimbia game sio solution
 
Ni mchezaji mzuri sana ila nakubaliana na wewe ana tabia ya kujivunja makusudi kukwepa fedhea na lawama!!. Hajawa mchezaji tegemewa wa mechi ngumu na za maaamzi. Kifupi ni muongomuongo na vimechi vyake vya kawaida.
Kabisa mkuu huyu anapenda mechi nyepesi nyepesi zile zenye shuruba yeye mapema tu ataomba sub
 
Huyu dogo aliingiwa na presha ya mchezo muoga sana, halafu walinzi wote wa Simba waoga na wanafanya makosa Yale Yale kila mechi
Hajiamini kabisa ana mengi ya kujifunza kutoka kwa Dickson Job
 
Kwa jana slishajaa upepo akaona ataicost team
Sina shaka na uwezo wake
Mentality yake ndo bado haijakomaa
Watu wanachomaga wanajifunga na wanarud na concentration nzuri tu
 
Kwa jana slishajaa upepo akaona ataicost team
Sina shaka na uwezo wake
Mentality yake ndo bado haijakomaa
Watu wanachomaga wanajifunga na wanarud na concentration nzuri tu
Hii tabia ya kukimbia game ndo aachane nayo Che Malone anachomeshaga lakini baadae anakaa sawa anakiwasha vizuri tu

Yeye dakika ya 15 tu anakimbia vitani na sio mara ya kwanza ishakuwa kawaida yake hii
 
Ni Bora mchezaji kama hajawatayari ajivunje kwakua maamuzi yake yatakua ya mashaka.
Kuna mwaka Namba nne ya South Africa kwenye kombe la Dunia alijifunga Goli tatu katika mechi moja.
Kuliko kukaza fuvu Bora utoke.
 
Ni Bora mchezaji kama hajawatayari ajivunje kwakua maamuzi yake yatakua ya mashaka.
Kuna mwaka Namba nne ya South Africa kwenye kombe la Dunia alijifunga Goli tatu katika mechi moja.
Kuliko kukaza fuvu Bora utoke.
Ni vizuri kweli mkuu ila huyu amezidi akiiona game ya moto tu anakimbia na ameifanya katika mechi nyingi sana
 
Dogoo Bishoo sana hadi uwanjani badala ya kukaza
Lile goli la pili uzembe wake.
Goli la pili kipa kapiga mpira ukamkuta Kagoma control hapa na kule wakanasa wakafunga ndio maana pana mchezaji alimfata kipa na kagoma ukiangalia mpira kwa makini matukio yanajieleza..
 
Goli la pili kipa kapiga mpira ukamkuta Kagoma control hapa na kule wakanasa wakafunga ndio maana pana mchezaji alimfata kipa na kagoma ukiangalia mpira kwa makini matukio yanajieleza..
Habari Isanga.

Nipo Pretoria kwa masomo, natarajia kumaliza next year December.

Nimekua niki-save allowance/stipend nazopata kutoka kwa sponsor wangu, na natarajia mpaka namaliza nitakua nina savings around $7,000 (Rands 130, 000) hivi.

Sasa nikimaliza masomo savings zangu nitazibebaje, namaanisha ipi njia nzuri ya kuhamisha pesa zangu kutoka Standard Bank (S.A) kwenda Tanzania (kule natumia CRDB lakini naogopa rates zao wakuda wale).

- Unanishauri njia gani ni salama, haina complications (wasije wakazi block savings zangu), makato madogo na muhim zaidi exchange rates nzuri?

nimeona watu wanasema Sendwave, Wire Transfer, kufungua account mpya ya dollar bongo, kutumia VISA card yangu ya Standard Bank na kwenda kuwithdrawal mdogo mdogo kwa ATM za bongo?

lengo la kufanya hizi savings ni kukusanya pesa ya kununua gari ndogo nikimaliza masomo.

Naomba unishauri kaka. Najua wewe mzoefu.
 
Habari Isanga.

Nipo Pretoria kwa masomo, natarajia kumaliza next year December.

Nimekua niki-save allowance/stipend nazopata kutoka kwa sponsor wangu, na natarajia mpaka namaliza nitakua nina savings around $7,000 (Rands 130, 000) hivi.

Sasa nikimaliza masomo savings zangu nitazibebaje, namaanisha ipi njia nzuri ya kuhamisha pesa zangu kutoka Standard Bank (S.A) kwenda Tanzania (kule natumia CRDB lakini naogopa rates zao wakuda wale).

- Unanishauri njia gani ni salama, haina complications (wasije wakazi block savings zangu), makato madogo na muhim zaidi exchange rates nzuri?

nimeona watu wanasema Sendwave, Wire Transfer, kufungua account mpya ya dollar bongo, kutumia VISA card yangu ya Standard Bank na kwenda kuwithdrawal mdogo mdogo kwa ATM za bongo?

lengo la kufanya hizi savings ni kukusanya pesa ya kununua gari ndogo nikimaliza masomo.

Naomba unishauri kaka. Najua wewe mzoefu.
Nzuri mkuu ukiwa na hiyo pesa hapa tunaongea rate nzuri kwa wakati huo nakupa Tsh Tanzania unanipa hiyo Rand naanza kuweka Tsh Tanzania harafu nakupa account ambazo mimi nafanya manunuzi unawalipa kwa FT wao wanakua hawana gharama za kuitoa hiyo pesa hata ukihitaji pesa ndogo Tanzania unaniona tu unatoa rand naweka Shilingi kwa Mama mimi nafanya manunuzi kila mwezi hapa,nipo Johannesburg kama kuwalipa itakua kipengele nakupa account yangu tu au ya Kampuni.
 
Back
Top Bottom