Foffana
JF-Expert Member
- Oct 29, 2022
- 2,687
- 4,386
Halafu ndo naona kuna watu wanasema ndo beki bora kwa sasa wengine wakianza kumlinganisha na Dickson Job ama Ibra Bacca
Humu hamna kazi hastahili kuanza katika kikosi cha Simba ni muoga sana wa mechi zenye presha kubwa huwa ana kawaida ya kujivunja (yaani kujifanya kaumia ili atolewe)
Alianza hivyo na Young Africans ile iloisha 1-0 hata ya marudiano ambayo haikuchezwa siku chache kabla ya game akazuga kuumia ili asiwepo katika derby akarudia tena mechi ya Constantine na sasa amelirudia tena na RS Berkane na mechi ya marudiano hatokuwepo😅😅 lazima atakimbia
Aisee mnamkosea sana Dickson Job kumlinganisha na huyu askari muoga
Hamza achaga kujivunja Dogo hii tabia uiache kabisaa tumekustukia😅😅
Humu hamna kazi hastahili kuanza katika kikosi cha Simba ni muoga sana wa mechi zenye presha kubwa huwa ana kawaida ya kujivunja (yaani kujifanya kaumia ili atolewe)
Alianza hivyo na Young Africans ile iloisha 1-0 hata ya marudiano ambayo haikuchezwa siku chache kabla ya game akazuga kuumia ili asiwepo katika derby akarudia tena mechi ya Constantine na sasa amelirudia tena na RS Berkane na mechi ya marudiano hatokuwepo😅😅 lazima atakimbia
Aisee mnamkosea sana Dickson Job kumlinganisha na huyu askari muoga
Hamza achaga kujivunja Dogo hii tabia uiache kabisaa tumekustukia😅😅