Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Aliyewahi kuwa Katibu wa CUF Mkoa wa Tanga Abdulrahman Hassan Amesema Chama cha Mapinduzi CCM, ndio chama pekee kinachoweza kuleta maendeleo nchini Tanzania huku akielezea historia yake na Vyama vya siasa vya upinzani Nchini
Amesema hayo leo Oktoba 8, 2025 katika mkutano wa kumnadi mgombea udiwani wa kata ya Kariakoo Ndugu Haji Sunday Manara na kuongeza kuwa Tanzania Hakuna Vyama Pinzani Bali kuna Taasisi za watu na kueleza kuwa vyama pinzani vilianzishwa kama mabadiliko ndani ya CCM hayatotokea.
Amesema hayo leo Oktoba 8, 2025 katika mkutano wa kumnadi mgombea udiwani wa kata ya Kariakoo Ndugu Haji Sunday Manara na kuongeza kuwa Tanzania Hakuna Vyama Pinzani Bali kuna Taasisi za watu na kueleza kuwa vyama pinzani vilianzishwa kama mabadiliko ndani ya CCM hayatotokea.