Hawa ni pigo kama za Bukinafaso wanapokonywa kila kitu kwa nguvu bila kufuata sheriaHapana hawezi kukimbia nchi mana nchi yetu haipo kwenye misingi hiyo, atleast viongozi wastaafu wangekuwa wanaweza kushtakiwa kwa makosa yao ya nyuma ndo nngekuunga mkono, hvy kama mzazi wako ambaye hawezi kushtakiwa kwa makosa yake bc hata ww mtoto huwezi kuwa na hofu.