Abdul Mwinyi kumng'oa Dr Faustine Ndugulile Kigamboni

Abdul Mwinyi kumng'oa Dr Faustine Ndugulile Kigamboni

SANGAPIPI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
210
Reaction score
325
Mtoto wa Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi aitwae Abdul Mwinyi ametangaza kuwania Ubunge jimbo la Kigamboni.

Mtu wake wa karibu amesema kijana ameshajiweka vizuri na chama chetu kinampigia chapuo ili kumuondoa Mbunge wa sasa.

Wiki ijayo kuna kikao cha marafiki wa mzee mwinyi ambacho ni maalumu kwaajili ya kumsaidia mtoto wao Abdul ili ashinde ubumge Kigamboni.
 
Kikao cha Ndungulile anatoa elfu 5 wakati vikao vya mwinyi ni sh 50,000.
Mwinyi amejipanga sana,Zile chupa za Chai walizopewa kama zawadi zitamuondoa Mb.
 
Kikao cha Ndungulile anatoa elfu 5 wakati vikao vya mwinyi ni sh 50,000.
Mwinyi amejipanga sana,Zile chupa za Chai walizopewa kama zawadi zitamuondoa Mb.

Hahahaa Dr anagawa senti, kwa ccm inatakiwa utoe hela sio maneno
 
Kwani Mzanzibari anaweza kugombea ubunge Tanganyika? Tayari hela wa walipa kodi zinawalipa mishahara na posho wabunge wa Bunge la JMT ambao wanatoka nchi ya Zanzibar (kila mmoja akiwakilisha mtaa) kwa kuja tu kukaa Dodoma na kuleta ushabiki usiokuwa na manufaa kwa watanganyika na bado wanataka wachukue majimbo yetu? Hii ni kutukaba koo. UKAWA fanya kitu hapo.
 
Watanganyika mambumbu sana atatokaje mtu zenji aje achukue jimbo bara.sawa nakuingia ndani ya nyumba ya mtu nakuanza kuongoza familia yake asithubutu huyo mwinyi.
 
Kikao cha Ndungulile anatoa elfu 5 wakati vikao vya mwinyi ni sh 50,000.
Mwinyi amejipanga sana,Zile chupa za Chai walizopewa kama zawadi zitamuondoa Mb.

Etii!!! Duh kabla hajatangaza nia watu washaanza kula 50,000?? Kweli ccm kwa sasa ukitaka chochote ilimradi uwe na hela!!
 
Maskini Dr.Mzanzibari anakuja kukuondoa kwenye kiti!!
 
nadhani ni vyema sana ndungulile akihamia chadema.ccm hawatampitisha
 
Mbona kaka yake alikuwa mbunge Mkuranga? chao ni chao (Wazanzibar), chetu (Watanganyika) ni chetu wote (Watanganyika na Wazanzibar!)
 
..huyu ni yule ambaye sasa hivi ni mbunge wa Afrika Mashariki kutokea Zanzibar?

..kama ni huyo basi anasifika kwenye hilo bunge kwa kuwachambua wanawake wa Kiganda kama karanga.

cc Pasco, Nguruvi3, EMT
 
Last edited by a moderator:
Aaaaah huu Umwinyi mpaka lini? Aende akagombee kwao Zanzibar,anatafutanini TANGANYIKA??

Ndungurule soma alama za nyakati ni kweli hao migamba hawakutaki hapo Kigamboni, kama vipi hama balabara kabla haijafungwa. Wana Kigamboni bado wanaimani na wewe.

BACK TANGANYIKA
 
Watanganyika mambumbu sana atatokaje mtu zenji aje achukue jimbo bara.sawa nakuingia ndani ya nyumba ya mtu nakuanza kuongoza familia yake asithubutu huyo mwinyi.
Halafu wao wanatuita nchi jirani. Jamani haya tunayasema kila siku kule duru na kuonekana tuna inda, mnayaona sasa?

Nani anaweza kuwa diwani znz akitokea Tanganyika?
Nani anaweza kuingiea baraza la wawakilishi akitokea Tanganyika?
 
Halafu wao wanatuita nchi jirani. Jamani haya tunayasema kila siku kule duru na kuonekana tuna inda, mnayaona sasa?

Nani anaweza kuwa diwani znz akitokea Tanganyika?
Nani anaweza kuingiea baraza la wawakilishi akitokea Tanganyika?

Ndiomaana mimi huwa nasema humu ndani mtu akikuita wewe mwanaccm ni tusi kubwa sana..!!! Ambalo kama likielekezwa kwangu Nitanyoka na huyo mtu mpka nihakikishe nimemwachia alama yeyote kama utambulisho maisha yake yote...!!!

Ni mtu mjinga pekee ndiye anayeweza kukubali hili kutokea kwenye nchi inayojinasibu ati inamuungano... Muungano?? au Unyonyaji..!!!

Halafu kunamidudu humu ndani inaimba iyenaiyena cccm sijui niniiii huko.....jinga sana.

Mtanganyika akienda Zanzibar inatakiwa awe na passport Analeseni ya udereva ya Tanzania, haruhusiwi kuendesha gari kule nchini Zanzibar,halafu Mijuha Flani inakuja hapa na kusema eti kunamuungano...!! Muungano gani wa kishenzi namna hii?? Haya sasa tunategemea kupata wabunge wazanzibar ndani ya ardhi ya TANGANYIKA. Hii haikubaliki.

BACK TANGANYIKA
 
Back
Top Bottom