Mtoto wa Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi aitwae Abdul Mwinyi ametangaza kuwania Ubunge jimbo la Kigamboni.
Mtu wake wa karibu amesema kijana ameshajiweka vizuri na chama chetu kinampigia chapuo ili kumuondoa Mbunge wa sasa.
Wiki ijayo kuna kikao cha marafiki wa mzee mwinyi ambacho ni maalumu kwaajili ya kumsaidia mtoto wao Abdul ili ashinde ubumge Kigamboni.
Mtu wake wa karibu amesema kijana ameshajiweka vizuri na chama chetu kinampigia chapuo ili kumuondoa Mbunge wa sasa.
Wiki ijayo kuna kikao cha marafiki wa mzee mwinyi ambacho ni maalumu kwaajili ya kumsaidia mtoto wao Abdul ili ashinde ubumge Kigamboni.