GE2025 Abdallah Nyaligwa, anaishi Uingereza, lakini ajitosa kuwania ubunge Jimbo jipya la Itwangi

GE2025 Abdallah Nyaligwa, anaishi Uingereza, lakini ajitosa kuwania ubunge Jimbo jipya la Itwangi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Abdallah Nyaligwa, leo Juni 30,2025 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania Ubunge wa Jimbo Jipya la Itwangi, ambalo limegawanywa kutoka Jimbo la Solwa.

Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025

Nyaligwa mzaliwa wa Itwangi kutoka familia ya Chief Kaswende Shikira anakuja kuwania nafasi hii akiwa na kumbukumbu ya heshima na urithi wa familia yake, kwani ni mjukuu wa marehemu Chief Abdalla Fundikira, kiongozi mashuhuri na shujaa wa siasa, ambaye alijitolea kwa ustawi wa jamii na taifa.

Screenshot 2025-06-30 200849.png
 
Asante Kwa kuchangia chama laki tano .


Unabamba uingereza unakuja kugombea Tz.
 
Hatuna kabaya na ukoo wa Kaswende, toka kwa mkuu wa jkt Robert Kaswende hadi huyu.
 
Nitawashangaa Wana Itwagi kumuacha kijana wa nyumbani Lugeye Jr na kumpa mpita njia wa uingereza
 
Back
Top Bottom