kila siku ajali,au ni kwa sababu ya leseni mpya,madereva wa taxi wanajisajili kuendesha mabasi?mwaka huu watatumaliza afu hakuna kikombe cha ajali kwa babu,hebu usalama barabarani wafanye kazi au na wao wanasubiri kuvuliwa gamba?
POLENI SANA NDUGU ZETU,MUNGU AWAPONYE HARAKA.
Poleni majeruhi. Mungu awasaidie mpone mapema na mwendelee na kazi zenu za kila mara.
Jamani tukumbuke kusali kabla ya safari kuanza kwani ndo tu silaha yenye nguvu sana kwa binadamu wote ulimwenguni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.