Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,149
Aah so sad jamani kadada changu cha kiroho huko Uganda kalikuja Dar kakanunua annointing water,
baada ya wiki nne yakaisha, aseme agoogle akawasiliana na ofisi za TB Joshua wakamhakikishia ziko, and the way voa fedex, kaenda kuchukua anapuliza loh anakutana na perfume inakaa si mchezo badala ya annointingwater. Muwe mnanunua nchini kwenu hizo za kuagiza kuna, mengi katikati mpaka ikufikie.
Mungu awabariki.
baada ya wiki nne yakaisha, aseme agoogle akawasiliana na ofisi za TB Joshua wakamhakikishia ziko, and the way voa fedex, kaenda kuchukua anapuliza loh anakutana na perfume inakaa si mchezo badala ya annointingwater. Muwe mnanunua nchini kwenu hizo za kuagiza kuna, mengi katikati mpaka ikufikie.
Mungu awabariki.